KESI YA SABAYA: HAKIMU ATAKIWA KUMKAMATA MROSO KWA KUKIRI MAHAKAMANI KUTOA RUSHWA ILI ASISHTAKIWE.

preview_player
Показать описание
KESI YA SABAYA: HAKIMU ATAKIWA KUMKAMATA MROSO KWA KUKIRI MAHAKAMANI KUTOA RUSHWA ILI ASHTAKIWE..

Shahidi Wa 10 upande wa Jamuhuri. Fanciss Mrosso, ameendelea kutoa ushahidi wake leo hii katika kesi ya Uhujumu uchumi inayomkabili Lengai Ole Sabaya na Wenzake sita..

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:

⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)

⚫️ OUR PLAYLISTS:
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mungu Asante naona mkono wako Toka juu ukimtoa Sabaya ktkt saa hii ya uharibifu, umsamehe tu makosa yote!!!! Samehe waliotubu gerezani wafunguliwe tu

neemaloy
Автор

Allhadulillah Allah asante mungu amejibu mapema

munamuna
Автор

Aliyeomba na aliyetoa rushwa wote wana makosa mbele ya sheria.Mroso amepatikana daa, ukiombwa rushwa toa taarifa Takukuru.lakini haingii akilini baada ya kutoa rushwa ndio unatoa taarifaa, halafu mbaya zaidi yule aliyeomba anapelekwa lupango kujibu kesi, na etii yule aliyetoa anakua shahidi, cha kutisha zaidi takukuru hawapo kwenye jopo la mawakili wa mashtaka.Hapa unahitajika utatuzi wa kisheria daa.

edwardmakonge
Автор

Mungu ni huyu huyu anatetea hata kama kuna makosa ila kuna maeneo adui nae atajikwaa

veronicamokiwa