MTOTO WA RAIS SAMIA ALIVYOMKOSHA MAMA YAKE, AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA TAASISI YA 'MIF'..

preview_player
Показать описание
MTOTO WA RAIS SAMIA ALIVYOMKOSHA MAMA YAKE, AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA TAASISI YA 'MIF'..

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan Leo Juni 19, 2022 ameshiriki uzinduzi wa taasisi ya Mwanamke Initiative Fpoundation, akiwa Zanzibar..

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:

⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)

⚫️ OUR PLAYLISTS:
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hongera Sana Dada Wanou Na Kila La Heri MUNGU azd Kkusimamia Kwenye Harakat Zako

abdulhamis
Автор

Kwani kuna ubaya wa rais wa nchi kumsaport mwanawe

abdulfirstzanzibar
Автор

Kuna cha Kujifunza.
Umimi unatawalaaa kwenye hiii nchi

mosesmzakwe
Автор

❤muambie mama ako aache kumpeleka mandi nchi ingine

ljaymasaai
Автор

Familia ya Mama Samia inaonekana kabisa ni ya maadili sana

TibihikaGerad
Автор

mtoto wa Samia sisi wananchi anatuhusu nini??

emariusrush
Автор

Jaman hii taasisi tunaomba ije na bara, , wadau wa elimu tupo tutaamasisha ili jambo, na naamii tutalifaikisha.hongera Sana Dada mwanzilishi.

carolineseda
Автор

familia ya kikwete kalibia yote ipo serikalini, family ya mwinyi hivyo hivyo, na mtoto wa Samia ameanza kusogezwa serikalini??? duu!!!!
jamani ivi hii nchi tunatawaliwa na ukoo?? kwanini msitawale kama Benjamin William mkapa au magufuli?? baba au mama ukiwa serikalini lazima watoto wawe serikali kuu???

emariusrush
Автор

Washaanza kuwanadi watoto wao magu alikataaga ishu hizi

saidasimba
Автор

Akimaliza Samia atashika madaraka mtoto wa Kikwete, akimaliza mtoto wa Kikwete, atashika mtoto wa Samia familia affairs. Kazi iendelee.

gracegrace
Автор

Huyu mama haoni hata aibu tu kwanin wasichukue mfano wa magufuri watoto wake alikuwa hapendi wajionyeshe hivyo, ama kweli tutamkumbuka magu kwa mazuri yake

FaridaJames