Nice brother Wang mungu akuwekee milelee kma Kuna mtu anamkubali huyu bro gonga like hapa AbdallaKhamis-mi
Nice brother Wang mungu akuwekee milelee kma Kuna mtu anamkubali huyu bro gonga like hapa
Mungu akubariki unafanya kazi nzuri na uko chap na data muhimu🙏🏼ss wapenda soka tunasema Ahsante Sanaa Mzee wa data IsaacTrevo
Mungu akubariki unafanya kazi nzuri na uko chap na data muhimu🙏🏼ss wapenda soka tunasema Ahsante Sanaa Mzee wa data
Hongera sana kaka, umeeleza vizuri sana, Ubaya ubwela forever, fainali tutanzia away then tumalizia kwa mkapa jumaayubumohamedi
Hongera sana kaka, umeeleza vizuri sana, Ubaya ubwela forever, fainali tutanzia away then tumalizia kwa mkapa
nimekubali mzee wa data, Mungu akubariki zaidi, as if you are a teacher, ❤❤❤ YahyaHaonga
nimekubali mzee wa data, Mungu akubariki zaidi, as if you are a teacher, ❤❤❤
Kaka upon vizuri, yaani unachambua kwa ubora wa hali ya juu sanaa AmedeusDaudyNuni
Kaka upon vizuri, yaani unachambua kwa ubora wa hali ya juu sanaa
Hongera sana mchambuzi wetu kipenzi cha wanamichezo🙏🙏🙏🙏 tikob
Hongera sana mchambuzi wetu kipenzi cha wanamichezo🙏🙏🙏🙏
Ubaya ubwela mnyama anahakikisha kombe kinabaki nyumban hopefully 🙏 FAREEDRAY-xj
Ubaya ubwela mnyama anahakikisha kombe kinabaki nyumban hopefully 🙏
Kaka Mwanduke ww unajua Mungu akubariki sana . BakariMfaumesaid
Kaka Mwanduke ww unajua Mungu akubariki sana .
Mchambuzi bora na makini Mungu akulinde ❤❤❤ ShukuruShukuruExperiusKiberiti
Mchambuzi bora na makini Mungu akulinde ❤❤❤
Mzee wa data uko sayari ya peke ako Mungu akulinde inshaalah LilianMasilayo
Mzee wa data uko sayari ya peke ako Mungu akulinde inshaalah
Hongera uchambuz wak uk vizul Hongera san 🎉🎉🎉 ErickPius-qp
Hongera uchambuz wak uk vizul Hongera san 🎉🎉🎉
Hongera mkongwe wa uchambuzi ni motisha sana tunakukubali wanasimba ThadeoPascal-ft
Hongera mkongwe wa uchambuzi ni motisha sana tunakukubali wanasimba
❤❤❤❤❤mungu aendelee kukuweka duniani mzee wangu mwbwaduke ili uendelee kutupa madini nyie ndo mliobaki tu kwenye uchambuzi wa mpira ❤❤❤❤ gcjcshz
❤❤❤❤❤mungu aendelee kukuweka duniani mzee wangu mwbwaduke ili uendelee kutupa madini nyie ndo mliobaki tu kwenye uchambuzi wa mpira ❤❤❤❤
Nakukubali sana wewe mchambuzi the best Tanzania acha wakatae we piga kazi nabii hakubaliki nyumban leodigardnestory
Nakukubali sana wewe mchambuzi the best Tanzania acha wakatae we piga kazi nabii hakubaliki nyumban
Simba kombe lake maana finali ya 2 kwa mkapa mhapasonjoseph
Simba kombe lake maana finali ya 2 kwa mkapa
Very fast, uko chap na data, hongera sana kaka🎉🎉 ipyanamwakyoma
Very fast, uko chap na data, hongera sana kaka🎉🎉
Congratulations bwaduke kwa kufahamisha wana simba sababu zilizo pelekea simba kuanzia nyumbani ThadeoPascal-ft
Congratulations bwaduke kwa kufahamisha wana simba sababu zilizo pelekea simba kuanzia nyumbani
YAANI KUANZIA NUSU UBAYA UBWELA NDO UNAANZA RASMI AAAAH KUBABAKE STELLEN ATUSAMEHE TU FAINAL TUITAKA MajaniMuyenjwa-vsnf
YAANI KUANZIA NUSU UBAYA UBWELA NDO UNAANZA RASMI AAAAH KUBABAKE STELLEN ATUSAMEHE TU FAINAL TUITAKA
Hongera sana kaka kwa ufafanuzi mzuri mungu akupe uzima wa milele charleskisiki
Hongera sana kaka kwa ufafanuzi mzuri mungu akupe uzima wa milele
Huo uchambuz mbona kama ni mathematics 😂😂 StevenPetro-ke
Huo uchambuz mbona kama ni mathematics 😂😂