Mikakati ya uchaguzi wa gavana waendelea Mombasa

preview_player
Показать описание
Huku kinyang'anyiro cha ugavana mombasa na kakamega kikitarajiwa kufanyika Jumanne wiki ijayo, wagombea wanaendeleza pilkapilka za kutafuta kura katika maeneo mbalimbali ya kaunti ya Mombasa. Francis Mtalaki amezungumza nao na sasa anatupa taswira ya hali ilivyo Mombasa
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Nakutakia ushindi mungu akupeushindi abuswamadi unanyota. Yauongozi

maramoelisabeth
Автор

Swamad Ndani, UYO omari apana tambura mukidhubutu ata kidogo Kenya kwisha

musakasto
Автор

Hustlers should win Mombasa! People of Coast should take heed and elect Hustlers nation!

Guled
Автор

Thats not ok
To 🗳 after elections some are sad some are happy and to go and vote a gain.
Some are working
Anyways good luck

b.