🔴 #LIVE:SPORTS ARENA NDANI YA WASAFI FM - 20/ 03/ 2025

preview_player
Показать описание
🔴 #LIVE:SPORTS ARENA NDANI YA WASAFI FM - 20/ 03/ 2025
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Tatizo Tanzania waoga sana ndio mana tutakuwa tunaishia haha tulipo yaani karia kasubiriwa kwa ham sana afu mwishowe nae kaharishwa duu😅

giliadijackson
Автор

2po p1 kutokea katavi Nina wapata kwa umakin apo ashushwe mtu heshima iwepo kwa wengine.

PaulJohn-jl
Автор

Huyo mzee said ndio anawakilisha akili za Watu wa Simba sijui ata kama anajua ni nn anachokiongea

scopy
Автор

NAOMBA KUANZIA LEO, KAMATI YA MASAA 72 IVUNJWE MAANA HAYA SIO MASAA 72 TANGU TAREHE 8 NI MASAA MENGI, HAWA WANAHIJUMU UCHUMI

linuskyando
Автор

Mmoja akisjushwa kwenye ligi ya chini watakutana kwenye ligi ya crdb cap Darby itachezwa tu.

rajabushabani
Автор

Kama ikitumika Sheria bs yanga akijiloga asije ameisha

Alfakanasa
Автор

mzee said anazingua, tafadhal asialikwe tena hapo wasafi anasababisha mashabiki wote tuionekane hatuna akili.

iddyiddy
Автор

Kocha unaongea kwa hisia sana ha nafrah

barakachacha-dq
Автор

Viongozi wa mpira karibu wote Simba tarehe name walikuwa wanapasuka ndio mana wakailisha mechi kwa kuogopa haibu

BussoroKahena
Автор

WIMBI LA UCHAMBUZI WA MPIRA, LIMEBEBA NA WAJINGA WENGI MNO, KAMA HUYU MZEE

hamoudcreator
Автор

KAMA KANUNI INAFUATWA SIMBA ANAPASWA KUNYANGANYWA POINT 15 NA KUSHUSHWA DARAJA

linuskyando
Автор

Busara ya nini Sasa utumike Sheria tu ili yasijirudie

BussoroKahena
visit shbcf.ru