JOGOO WA MCHANA AWAGEUKIA WANAUME WENYE GUBU - DR KUMBUKA

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Wape wapeee haooo! Mie nilishakuwaga na waivo nilikonda kama mbwa koko! Kutwa kunisimanga kwa mafumbo. Mwisho wa siku nilimuacha nikajichukulia baharia handsome!

vanessalaizer
Автор

Saluti kwa Kumbuka😂😂😂😂 yaani wapo wanaume wa hivyo!

mozasaid
Автор

😀😀😀😀😀😀😀😀😀mamayangu kumbuka ww bala;jogo aje kwaajili yama wifi plz

justinjoshua
Автор

🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mapenz hana matunzo hana duh wanawake tunavumilia mengi yeye gubu tu 😭😭😭😭 ndo tunayoyapitia

lydiakamala
Автор

piga kelele kwa kumbuka yan nimechek kwa sauti mpak nikaonekan chizi huo ndo ukweli wenye gubu washasikia👌😆😆😆

zaitunijuma
Автор

Mume mmh kma polisi anaemrisha gwaride!!

zahraalbaloochi
Автор

Mume wangu uwa yuapenda kusliza uhondo mwanzo hadi mwisho, ajabu leo kanizimia radio na kumbuka hajamaliza kuongea, santha kumbuka, nimenunua bandle nimalize uhondo radio amekataa nayo yuasema paka uhondo uishe

mwanalimagamunda
Автор

Ametoa jicho kama fundi wa saa aliyepoteza nati🤣🤣🤣🤣🤣

madamboss
Автор

Kweli Doct Yote nimepitia Mapenz hamna Gumu Kama nn nilikonda Kama Muathirika wa vile

salmacazzy
Автор

Mimi ntamwambia just shut the f up sina hiyo subira namtukania huko sharubu kama soksi ya refa hiyo kali eti busy kama unaumba roho za watu bora niwe peke yangu eti unamkata ng’wala dah asante dr kumbuka wambie hao

salmaluhombero
Автор

Kweli kaka ang tunavumilia mengi san mapenz akuna mume wng akichukia ananuan miez 3 anipi mapenz

christinajohn
Автор

Satin kam baziya la mam ntiliy jamn huy kak ananipag rah kwel nimecheka mpak mbav zinaniuma🤣🤣🤣🤣

careenmshairi
Автор

Kumbuka wewe ninomaa umenigusa Sanaa natamani kukutana nawewe nakupataje

akisamwitumba
Автор

Yaani wewe kaka uliyoyaongea Leo ndo yanayosumbua nyumba nyingi sna naweza sema asilimia 90 matatizo haya YAPO na umefikisha ujumbe wajirekebishe

nailaabdulsalami
Автор

Daaaa mngu akupe hitaji lamoyo wako baba wewe mikombozi

akisamwitumba
Автор

Tunaishi tu kwa mazoea kaka angu hakuna mapenz kabis unayoongea nikwel mwanaume anakupalamia kam beberu wanaboa sn

christinajohn
Автор

Harafu mwanaume akiwa na gubu hata hapendezi utalikuta baba zima linaoongeaaa na midevu yake vavaga hovyo

subrynerysegerow
Автор

Hahahahaha kumbuka wangu unanikosha sharubu kama soksi za refa

mwanajumaomahundumla
Автор

Wangu mie anakisia mpaka muda wa kupanda daladala anajua muda gani nitakuwa nishafika safar yang

hawaynatimam