WANAUME MUACHE KUWAINGIZA WATOTO KWENYE UGOMVI WENU WAZAZI DR KUMBUKA

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Na cc tuko Qatar tunaenda sana kipindi cha uhondo Alwah awabariki sana wote
Asanteni sana Dr Kumbuka unatufurahisha

mamunote
Автор

Sana mm hpa Croatia, mkenya asili tuwikie dr, nakusikilizaga bure huku nchi za watu, hususan nkiwa nafanya kazi zangu nyumbani, big up sana endelea baba.

esadkulovic
Автор

😂😂😂mbona kichwa kama spika ya sikinde😂😂 dina fanyeni mpango muwe mnaruka live sisi wengine tunaopenda kuwasikili tukiwa huku ughaibuni tuone kipindi kizima please fanyia kazi hili tunatamani ila ndio mnaweka kipande cha jongoo tu🙂

suzanetilito
Автор

Dr sijawahi ku comment, leo umeongea ukweli mtupu. Yaani leo Birthday ya mwanangu, Wallahi babake hajampugia wala simu ya bure hata maitaji hamna. Asante kakangu 😭😭😭😭

xbdbdgdgsbdbbxx
Автор

Umenifanya nicheke kw saut kwakweli aaaaeee sio pw

gilaboy
Автор

Natamani mzazi mwnzangu ingemufikia iyi Asnte kumbuka umewambia ukweli

basmahalshammmari
Автор

Kumbuka kumbuka natamani siku nikuone live nikupe bonge la zawadi kwa mikono yng yaani hii imenigusa kabisa baba mtoto wangu yote yanamuhusu hayo walahi namuombea dua mchana na usiku kidole changu cha shahada kumshitakia mungu hakitomuacha salama alafu ni mtu maalufu tu jk comedian ww jicho la mungu halitokuacha salama alafu anasimama mbele ya media kusema mtoto wake anamsapot wakati hata aliko mtoto hajui kumbuka umenichoma leo yaani nailudia hiii crip Mala 10 sasa

nururajabu
Автор

Hahahahaa swebe kapoa balaa Kama kaambiwa yeye!!!

prettynesspastory
Автор

Maneno kuntu Dr kumbuka wako wengi wewe unahangaika halafu watoto wakikua wanakuwa wanawavaa watoto kama nguo na wengine wanatumia mambo ya kiswahili watoto wasikujue wewe uliyohangaika nao

faridamaxakena
Автор

WANAUME ACHENI UONGO NA KUTESA WANAWAKE NA WATOTO, BADILIKENI KIDONGO KHAA!!!

vero
Автор

Yani mimi baba yake alimkataa mtoto nimepata bahati Niko ufaranca namtoo nikonaye wala hata hajui mtto yikoap sasa mtt anata baba nifanyeje ? naombeni ushauli wenu ndugu zangu

nibogoragrace
Автор

Kumbuka wewe trekta sio jembe ujumbe umefika mhars pake

mariambakari
Автор

kwa mm sina hata haja ya kumpeleka ustawi hapa mtakuja atakuja tuu.

namirihamisi
Автор

Waambie kweli kumbuka maana unayo yasema ndio yanayo tukuta napenda sna uhondo niko saudia Arabia

fahimaumazi
Автор

WASHINGTON DC TUJUANE SHIKAMOO DR KUMBUKA 🇺🇸 UNAWANYOOSHA KM BASMAT SEMA SEMA ATA MATE USIMEZE 😀😀😀😀😀😀😀

zuleikhakhamis
Автор

Jogoo umesema ukweli ndio baba mtoto wangu uyo alivo awanywisha pombe rafiki zake lkn ajui mtoto wake alanini lkn asante mungu kwakunipa nguvu nipo ugaibuni napambana na aliyangu nalea mtoto wangu mungu anipe uzima na afya toka yupo na miezi mpk sasaiv yupo namiaka13 Allah ampe uzima tyr amekua msichana wangu 🤲

fatmamakalo
Автор

acha kaka yangu ivi ninamwak mitatu saudia natafuta mwanaume hajui hata nini acha tuuu

janatahmad
Автор

Jamani nipo omani tumeacha na baba watoto wangu wtt 5 basi atanikiwapelekea penseli baba yao aikata asema nsiwajue kwa chochote nikipeleka nguo azirudisha kwa babaangu tena asema nikomeshwe nisiwapelekee kitu

zuwenazuwena
Автор

Yasikitishaa sanaa aki Dr kumbuka..jogoo awike sanaa Doha 🎺

anisabasheikh
Автор

Ugaibuni tunakupenda saaana kumbuka natimu nzima ya uhondo

aisatahaisatah