JAJI MWINGINE APANGIWA KESI YA MBOWE NA WENZAKE/KUANZA KUSIKILIZWA KESHO

preview_player
Показать описание
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV ( +255 767 400402),
🔘WhatsApp ( +255 692 318213)
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Watapanga sana lakini mungu yupo upande wa mbowe na chadema

chidjosh
Автор

Mwanahalisi mko juu sna, sna, kwanza mtoa taarifa amejipanga vzr kwa sauti, na pia anaongea kwa vituo, mko juu sana

akidajulius
Автор

HAPA HAKUNA KESI WALA KOSA, KINACHO TAFUTWA NI KUTEKELEZA MATAKWA YA WATAWALA HATA KAMA HAWANA HATIA

sagandamalechampullo
Автор

Mbona hamutaji jina jaji mpya hana jina ?

issayusuphu
Автор

Accept Mr.Mbowes case has no legs nor body.Uogo mtupu.you are a laughing stock in the world.Aibu Aibu

margaretwambete
Автор

Kesi ya mbowe itakujengea chuki mama Samia sisi kinamama tunajivunia kupata rais mwanamke uku mitaani wanakubeza eti unapelekeswa na usalama, kwa hili ka mbowe unatuvunja moyo kabisa mwenendo mzima wa kesi niaibu, nikesi yakutungwa najua unauwezo was kuiondoa kesi hiyo itakayokuchafua milele,

gdesiandimbo