DALILI ZA MIMBA YA MTOTO WA KIUME...

preview_player
Показать описание
FAHAMU DALILI ZA MIMBA YA MTOTO WA KIUMBE
-Mama mjamzito uonapo dalili hizi jua una mimba ya mtoto wa kiume
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mtoto wa kike au wa kiume, , , wote sawa ilimladi utoke salama kwwny kile chumba cha kujifungua

tiktoktanzania
Автор

Kila mtoto anakuja kivyake na tabia zake bila kujali jinsia..Hzo dalili nlikuwa nazo zote lakn nlijifungua mtt wakike

neemathadeus
Автор

Habari ya saizi docter, mimi nimefanya utrasound nimeambiwa nina mtoto wa kike je niamini kua mtoto ni huyohuyo au vipimo hua vinandanganya wakati mwingine? Make mimi nashindwa kuelewa naomba mnieleweshe, asante

edinaalbath
Автор

Lakini muili wangu uko soft ilkua Niko na makovu saii Niko mzurii mpaka najipenda na kichefu chefu sisikii kabsaa na nyele pia zimekua kiasi

khadijafadhil
Автор

Dalili zote ninazo ..lkn jn scan imesema nna girl

zennamalembazennamalemba
Автор

Doctor Mimi nimekuwa na tumbo kubwa kuliko mimba zangu zote miezi mitano km nina miezi saba tumbo langu nalihizi zito pia nahisi uchovu muda wote na dalili kuna baadhi ya dalili ninazo za mtoto wa kike na kuna baadhi za mtoto wa kiume

mimimina
Автор

Hospital nimeenda wakaniambia mapigo ya moyo yako chini, nitakuwa na mtt wa kiume?

restutakadawi
Автор

Mimi kichwa kinanisubua sana lakini ujauzito mwingine nilikuwa sisubuli kwanini docta.

JuliethJemss
Автор

Na je Kama unakua na hasira Sana halafu uso unangaa huna chunus

gloryminja
Автор

Kama napata kichefu chefu na kujiskia vibaya

MorinembelwaMberwa
Автор

Mm ujauzito wangu ulichelewa kuonekana kwenye kipimo Cha UPT ilionekana ikiwa na miez 3 pia hata kichefchef kilianza nikiwa na hiyo miez 3 hapo imekaaje???

sarahbenjamen
Автор

Doctor kweli Mimi nimkali MTU akiniudhi naskia nimtusi mpaka najihisi vibaya Niko na ujauzito Wa miezi minne

khadijafadhil
Автор

Dr mke wangu ana mimba sasa tumbo Linamsumbua Sana tatizo nini

StevenAndrea-jfkk
Автор

Sorry mtoto hukaaje ikiwa na miezi minne kichwahugeukia chin au hukaa wima?

shadiakankwanzi
Автор

Jaman docta mm nimeenda. Kupma ultra soud wiki ya ishilin docta ananiambia jisia hatabilik kama ya kike ila akaniambia nilud ikiwa na miez saba doctor naomba uniambie atakua wa kike au nisubir nikachek tena

chontichipya
Автор

nimefnya u.trousound miez nane ivii nizakweriii.kbisa

nicecosmas
Автор

Jambo mm Niko wiki ya 22 mtt wangu na msikia kwambali nikwa nn

fatmaswatma
Автор

Doctor mbona Mimi nilienda kupig utrasaund mimb ilkuwa miez 7 doctor akaniambia ajageukaaa ni kweli au

neemamachenje
Автор

Dkt naitaji kufaham kwann mjamzito anapitiliza siku za kujifungua au nishida IPI kupitiliza siku yaan kuzidi ?

anisiabenard
Автор

Dalili zote hizo nakuaganazo na najifungua watoto wa kike.sikuhizi wala siwaamini mpangaji ni mungu tu .maana mimba ya pili tumbo lilishuka kila mtu akajua dume na mimba miezi minne watu walijua miezi 9.bado sijakubaliana na ww hata kimoja

husnarajabu