#EXCLUSIVE : SIONGEI NA NUGAZ - HAJI MANARA

preview_player
Показать описание
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113

LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻

Follow Us On:

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

SHOGA na Mungu wapi na wapi weweeee falaaaa hizo Dua kwaninii usitumie kwenye Champion Ligi Nguruweee wewee.

manenoanthonymachaku
Автор

Aminini unafiki ni dhambi kubwa sana
Manara anavoongea utadhani hajawahi kufanya dhambi, yaani ni yeye tu ndiye anayeonewaga halafu eti ni mwingi wa kusamehe😁😁😁anavojua kuapa sasa🙌🙌🙌

yahayakisuda
Автор

We mbwa umetaja jina Allah mala ngapi af unakua unadanganyaaa huogopiii dhambi we mtu

shalkhanselleman
Автор

Hili jamaa linafiki sana afu ni jitu la kusahau sana

mosimba
Автор

Hapo cjakuelewa kabsa kaka haji ....kwa hiyo unataka kusema river united hukusali au ndo unataka kutuaminisha zile sayansi zako za kichwa zakuwadanganya wanamichezo ....mpira niwamakosa ukikosea unaadhibiwa basi hayo mengine ni chumvi tu .hajismanara.

motamohele
Автор

Unatatarika nn unajamba Moshi na huli kuni

tonyspencer
Автор

Huwa unaapa uwongo wewe ulisema sijikufanyakazi yanga labda maiti yangu, unatukana mo kilaleo hunalolote mzungu pori ww

ramadhanmoshi
Автор

Ulishindwa nini kuombaa siku ya mechi ya Rivers United ukapigwa nje ndani Yani bana wew ndio unasababishaa watu wa dar wote waonekanee kweli wanna matatizo ya akili 🏃🏃🏃🏃

stellahsamwel
Автор

Manara napenda kuvaa unajua kwa mavazi uko se

mussakhamis
Автор

Da! Kweli unafiki ni hatari. Yaani wew unaeapa apa bure eti umeomba Mungu. Huyo huyo Mungu uliwahi kusema hawezi kusikiliza Dua za utopolo. Da! Mbinguni utachelewa sana.

danielchamoto
Автор

Waapaji wamekutana Diva aliapa hato fanya kazi wasafi pia Haji aliapa hatokuwa yanga Leo huyo

omarirashidi
Автор

Unafiki bana we bado ni simba mana hujaludisha kadi ya uanachama simba

haflangoztz
Автор

Nugaz anajielewa sn cyo lopo lopo yule

ramsodavidson
Автор

Ila ukweli Nugazi alikosea Sana ile clip

juliasbeda
Автор

Huyu. Jamaa hofu na mungu haipo
Yaan chiz. Si chiz, zipe si zipe bas Kujifanya mcha mungu lkn mbwa mwitu khaaaa

baimarrajahbuayan
Автор

"nikasema Hawa MAKOLO hawatoki" 🤣🤣🤣

kottaflavour
Автор

Huyu jamaa mwisho, anasema atumsiki kuapa na yeye kuapa kama kunywa maji huyu si mwongo ni jirongo wacha tuishie hapo.

ahmedmohamedshaksy
Автор

Manara unakumbuka ulivyodhukumu mhindi yule 😂😂 sasa Mungu ndo analipa huwezi jua kama ndo muda umefika ila ndo Mungu analipa

stenvibe
Автор

Hakuna kiapo cha kuapia watoto wako.Ukiona mtu ana apa apa bila kikomo ujue ni mnafiki na muongo.

mahadshekh
Автор

Ungempa nafasi ya kunisikiliza sidhani kama aliongea Kwa kumaanisha

zehrarico