MANARA AMKUBALI MZEE MPILI/ 'MZEE AMESEMA KWELI'/ 'NITAMPA MILIONI MOJA CASH'

preview_player
Показать описание
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasilino ya Simba SC Haji Sunday Manara amekubali maneno yaliyosemwa na Mzee Mpili baada ya kuhojiwa na Dar24 Media jana jumatano (Juni 30) jijini Dar es salaam.

Mzee Mpili ambaye kwa sasa ameshika chati kwenye mitandao ya kijamii, kufautia uzalendo wake ndani ya Young Africans alisema hadharani namna anavyomfahamu Haji Manara kabla na baada ya kuzaliwa kwake.

Baada ya mahojiano hayo kurushwa hewani jana Jumatano jioni Haji Manara alifuatilia na kuandika kwenye ukarasa wake wa Instagram huku akimuahidi Mzee huyo wa Ikwiriri Shilingi milioni 1, endapo Young Africans itafanikiwa kuifunga Simba SC Jumamosi (JULAI 03).

--

#manara #mzeempili #simbasc
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Aaaa mzee uyu anajua alipokwenda kufanya yake nakuwapumbaza wachezaji wetu sasa uje mkavu mzee kigoma usifanye mambo yako tukuchape maana wewe km uko mkavu bado tunasema kuifunga simba huwezi sema umelimoti wachezaji wetu hata wapo langoni mpira hauingii

venitarugemalila
Автор

Hao Nani BN.wewe ndiyo umeokota wachezaji mwizi wa wachezaji., Morrison

suleimanmwenyemvua
Автор

manara naomba utoe ahadi yako Peacefully

SirdickOmondi
Автор

Manara mpatie million moja yake mzee Mpili mana uliahidi yanga ikishinda utampa one million cash naleo kishakutandika mzee Mpili

vinozamhone
Автор

Uchawi wa yanga umeyeyuka . goli 4 wanakula ili ijulikane simba ni yakisasa nasema tena goli 4

victormbaga
Автор

Aahaaa kumbe Manara Simba damuu Asante Mzee Mpili umenifungua macho leo

kassidpandu
Автор

Yule aliyekua anavunja nazi saa saba mchana uwanja wa mkapa mkicheza na kaizer chief alikua anafanya nn?

staniamhagama