Huruma: Tazama GIGY MONEY akimwaga MACHOZI, Amlilia Mnigeria HUCHO 'Bado nampenda siwezi move on'

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Nilishindwa kwa mapenzi na nikakubali, kuja utujoin team " kula chakula ulale" 😀😂

roselineawinja
Автор

Sasa kama alikuwa anampenda Kwann alimfukuza.mapenziyabonqo yananichekecha.watu wanatafutanahuko.kuachana Instagram

FatumaSaidishaban
Автор

🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamani wanawake tunafeli wapi jamani, basi siafuate ama ampigie cm arudi, asjiue na mapema mtoto bado yuamwitaji..gigy hapo mwanao ndio muhim hebu move on achana na madevu

ROSEROBERTROBART
Автор

Lakini gigy wakati ulifkuza ulle jama ulijuwa atakwenda wapy sasa jiaribu Kwanza uweze kujuwa jama Yuko wapi alafu jikaze saaana umuombe samahani bado mapema Kuku akilala nje limoja hatakuwa wakotena

ayuburamazani
Автор

Chizi Mara huyu jamaa hana kitu then unalia move on lea mwanao

halima
Автор

Chizi kweli badala uwaze ramadhani kwa hiyo mdhabi yako unawaza mpenz watu wa laana wataishia laana tu

sajhghksk
Автор

Kweriana riyanamume kumuchaganya narimuri piyapesa

johndieme
Автор

Unajitia aibu khaaa umekumbuka dudu dah pole

aminakawawa
Автор

Wa achemutukana arimuretasi nahamupedi

johndieme
Автор

Mapenzi yanauma ukitendwa😧hasa ukikuta mwanaume ni

aceotz
Автор

Wabongo hatari

Kulia pia mtu anakuja kulilia Instagram🙆‍♂️🙆‍♂️

binthassancollection.
Автор

Hii ukimlilia mwanaume kwanza anakuona bogaz, pili anajua labda hutongonzwii ndio maan wamng'ang'ania kwanz anakudharau, mam move on ht km bado unampenda mi najua unalilia pesa zako humlilii huyo kigagula ban, hembu jaribu kumsahau ban najua mapenz yanauma ht sisi tulishawah kuumizwa na saiv tupo powa tunapambana hatuna habar na wanaume" jifunze kuacha mwanaume asikutawale hata siku moja..Huy hucho mwenyew hana maajabu

khadijakhadija
Автор

Mm siwezi pendakiasihicho.nilipendaqa zamani mpaka mapenzi ilakwasasa nimejielewa simpendimtutena

FatumaSaidishaban
Автор

Iki kiazi mbatata alivalia njuga swala la rubi na kusah🙌🏽 what's goes around comes around tena muda mfupi sana Guys karma is real friend for Malipo ni hapa hapa duniani🙌🏽

latriciahaugustino
Автор

Sasa ndugu zangu, msiwe mnawaruhusu mama zenu kuingilia mapenzi yenu... Sasa kama mama hajiheshimu, unategemea nini.. hata Mimi Nina binti, lakini siwezi kufuatafuata maisha ya binti, yangu ... mabinti mtaishia maradhi to ngono... akina mama acheni watoto wenu waishi Kwa furaha.... alimkosea kijana wa watu... asiruhusu familia kuingilia maisha yake.. wanaume wenyewe wa kuishi na wanawake dunia ya Leo hakuna...ukiona mwanaume katulia na wewe shukuru..

priscillaamossen
Автор

Mie nitalia kwa mwanaume ambaye ananihudumia ananijali na kunithamini mie na family yng but sio janaume nalihudumia kwa kila kitu kisha eti nilie Asubutuuu likwende tu tusichoshane🤣🤣🤣🤣

marinamooh
Автор

Gigy stop acting desperate..achana na maneno ya mapenzi ya kujianika ovyo ovyo...try to be private...kinachokuliza kwa mnaija nn yet ww ndo ulikuwa unamlisha, unamvisha, visa ni ww...ama ndo unajutia hasara...jipange umlee mayra dadangu acha kufurahisha instagrammers you are still young

saidahj
Автор

Kutengana na mtu ambaye unampenda hata ka Ana makosa iyo lazima inauma so

linetmachoka
Автор

Mmmh jamn mara hii umesahau ulichokisema juz
Allah nisitiri mdomo wangu

khadeejaabdullah
Автор

Najua waumia lakini kwa ushauri wangu wacha kulia hadharani kama huwezi kkausha jifungie ndani ulie yako yote alafu nyamaza endelea na maisha baada ya yote maisha yako yataendelea tu with or without him na kumbuka alikupata na kisima chako fikiria mwanao kua jarisiri Mungu atakupa kibavu cha kulibeba hili watu hutendwa yani acha tu nna imani hilo ni somo usijutie jifunze tu

mwanakomboomar