Najuwa Aggy atapata furaha yake...nani amefurahi kuwaona watoi WA Aggy ❤ chapa like tukisonga
VeronicaMabonga
Wenye tunaamini daktari n mkombozi gongeni like tukisonga🎉🎉
zainabmakokha
Beautiful kids God have mercy on these kids
christinewambua-ew
😢😢😢😢noma!! Siwezi mkataa mtoto wangu hata kama nimezaa na nani!
dancanomwenga
Amazing work watoto wamefika mara dat dat
BelindaOshoromo-fl
Watoto ni beautiful ❤❤❤ baba anatapia mbaa ya kutesa Watoto hawana atia
CarolineImbwaga-zs
Huyo mtoto mwenye amebemwa anafanana na hoyo mubaba
selphadonalo
Ipo siku Devy atatamani kuiona hii familia yenye anaitesa sai bt hautawai iona tena😢😢😢😢😢
TeclaOmoro
Mercy junne kazi yako nzuri na dactari
RoseNyakundi-mk
Angejua kuna watu hadi wananunua watoto mhh siku moja atatamani doc na Aggy gud job aggy utapata kila kitu bora uwe mtulifu
elizabethwesonga
Afu watoto warembo Masha'Allah❤❤❤kazi nzur daktari saah waishi na mama yao waenjoy life
chilovebeb
Emungu tunasema tu shukurani kwa mungu na mungu akubariki sana doctor kwa job poa
brendaSimiyu-po
Devi shetani dakitari na mercy June mungu awabariki Sana🙏🙏🙏🙏
muasyairene
Thanks be to God, mercy na Dr God bless the work of your hands
carolinekorio
Watoto warembo Mashaallah.Mungu amuekee Inshallah.wamefanana na Mamayao hadi raha
fatumahapesamohamedfatumah
Gai watoto warembo kwanza last born❤❤❤
CharmingAngel-wxsk
Kazi safi dactari woiye watoto wamekuja 🙏🙏🙏🙏 mamake atafurahia
mumblessed
Eeeh eeeh Mashallah akii watoto waremboo sana weeeh Akii God bless the DOC mamaaayanguuu😊akii chakula yoyoteee😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢akiii mm i wish ningekua na nyumba yangu😢
VallaryAlivitsa-tplc
Daktari good job, and to mercy June may God bless you 🙏
Ayakodiana
Asate sana daktari kwakazi ambayo inafanya nimefurahi kuona watoto 🎉