Daktari Uteo ni mkali kweli Davy amekiona cha mtema kuni

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Najuwa Aggy atapata furaha yake...nani amefurahi kuwaona watoi WA Aggy ❤ chapa like tukisonga

VeronicaMabonga
Автор

Wenye tunaamini daktari n mkombozi gongeni like tukisonga🎉🎉

zainabmakokha
Автор

Beautiful kids God have mercy on these kids

christinewambua-ew
Автор

😢😢😢😢noma!! Siwezi mkataa mtoto wangu hata kama nimezaa na nani!

dancanomwenga
Автор

Amazing work watoto wamefika mara dat dat

BelindaOshoromo-fl
Автор

Watoto ni beautiful ❤❤❤ baba anatapia mbaa ya kutesa Watoto hawana atia

CarolineImbwaga-zs
Автор

Huyo mtoto mwenye amebemwa anafanana na hoyo mubaba

selphadonalo
Автор

Ipo siku Devy atatamani kuiona hii familia yenye anaitesa sai bt hautawai iona tena😢😢😢😢😢

TeclaOmoro
Автор

Mercy junne kazi yako nzuri na dactari

RoseNyakundi-mk
Автор

Angejua kuna watu hadi wananunua watoto mhh siku moja atatamani doc na Aggy gud job aggy utapata kila kitu bora uwe mtulifu

elizabethwesonga
Автор

Afu watoto warembo Masha'Allah❤❤❤kazi nzur daktari saah waishi na mama yao waenjoy life

chilovebeb
Автор

Emungu tunasema tu shukurani kwa mungu na mungu akubariki sana doctor kwa job poa

brendaSimiyu-po
Автор

Devi shetani dakitari na mercy June mungu awabariki Sana🙏🙏🙏🙏

muasyairene
Автор

Thanks be to God, mercy na Dr God bless the work of your hands

carolinekorio
Автор

Watoto warembo Mashaallah.Mungu amuekee Inshallah.wamefanana na Mamayao hadi raha

fatumahapesamohamedfatumah
Автор

Gai watoto warembo kwanza last born❤❤❤

CharmingAngel-wxsk
Автор

Kazi safi dactari woiye watoto wamekuja 🙏🙏🙏🙏 mamake atafurahia

mumblessed
Автор

Eeeh eeeh Mashallah akii watoto waremboo sana weeeh Akii God bless the DOC mamaaayanguuu😊akii chakula yoyoteee😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢akiii mm i wish ningekua na nyumba yangu😢

VallaryAlivitsa-tplc
Автор

Daktari good job, and to mercy June may God bless you 🙏

Ayakodiana
Автор

Asate sana daktari kwakazi ambayo inafanya nimefurahi kuona watoto 🎉

KahindoDaisy
welcome to shbcf.ru