DR.ANNOINT AMANI FT KICHECHE - MGANGA MPUMBAVU ( OFFICIAL VIDEO )

preview_player
Показать описание
#kicheche#mgangampumbavu#annointamani#

Huu wimbo ugeuke kuwa moto kwa wachawi,waganga,na nguvu zagiza zote,
👇

Zaburi 141: 8: 10 :
Adui wanase kwenye mitego yao wenye mimi nipitapo salama )

👇

Song,Mganga Mpumbavu

Annoint Amani akiwa na kicheche mchekeshaji mashuhuri East afrika ,

Tiktok,Annoint Amani tz
👇
whatsaApp & Call +255767240181 = +255755099942 )

👇

Audio ,Pamoja Record prod by Nas b
+255 714 595 432
👇
Video,Directed by Stanton
+255627920029

Dar es Salaam Tanzania 🇹🇿 )
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Founder Tz mungu akutangulie kwa nyimbo zko kwan zmegusa maisha ya watu baba amesha kuvukisha kiwango kingine kuwa imara

JamimaZ
Автор

Nataka uimbe wimbo nzima tu "Kizito cha utakaso" Mwanzo hata mwisho. Voice ni zuri sana. From ( KOLWEZI) Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

-Freddy_fota.
Автор

Wimbo mzuri pia unajumbe wenye uhalisia, tatizo Dan's na mpangilio wa uchezaj sio mtu wamungu

mwajumajabu
Автор

All your songs are good God bless you ❤❤❤ much love from Kenya

JaneGacheri-jbxh
Автор

I thank God for knowing you 🙏 I can't get enough of your songs🎉🎉.

Terryann
Автор

Hallelujah asifiwe bwana heshima kwa bwana

pascalinamukui
Автор

From kenya with love: mauno na yakatwe popote ngoma ilipo. Ya injili au ya mataifa. Mbinguni kwetu sote wadau.

bloodmoonpictures
Автор

Mtumishi, wachezaj wapunguze kukata mauno.Nuru na Giza haviwez kuchangamana.

mosesndimgwanko
Автор

Naomba sana "Kizito cha utakaso" na voice ile ile mwanzo hata mwisho napenda sana hu wimbo🇨🇩🇨🇩🇨🇩

-Freddy_fota.
Автор

Waooo wimbo mzuri sana mtumishi nimebarikiwa🙏🙏

janethkahembe
Автор

😂😂 Gai what's is happening 😂😂🤣🎉jina la yesu linaweza

ademamediaproduction
Автор

Umeimba vzr congratulations 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏 af nimesoma comment zenu zotee sikieni jueni kutofautisha kati ya waimbaji wanyimbo za injir na wasani wanyimbo za injir hapo Ambwene. Apa yupo huyu jama Anoint utaelewa ki2 af hauto umiza kichwa tena

rubenibernald
Автор

Asante ndugu MUNGU akubariki sana, nabarikiwa sana na nyimbo zako, tuhubirie tupone, maana sasaivi tamthilia nyingi zinaigizwa kichawi chawi hakika dunia imekwisha

CarolineShadrack
Автор

Mungu wa mbinguni akubadilishe ufanane na hii nyimbo mtumishi wa mungu

FredMasawe
Автор

Kenya tunakupenda sana kazi nzuri sana ❤

natashaeunice
Автор

Inaonekana imekugusa unaungua mpaka maini kula chuma hicho jina la YESU ni FIRE, . We mganga mpumvavu.❤😂😂

RoseKavishe-up
Автор

Sema sana, wamekuwa wengi hawa ma Prophet wa uongo wanapoteza wengi. Sanasana wakina Mama wanapenda sana kuwambiliwa. Ombeni roho ya utambuzi wa ndugu. Mungu atuzaidiye.

yvetteirankunda
Автор

🎉 🎉this is s song fire..I love it iko sawa tu❤❤❤

millyarapta
Автор

Wimbo mzuri Sana nyimbo zako nazipenda coz uwa zinanibariki.na movie za kicheche uwa zinafanya nifurahi.mbarikiwe Sana Kenyans tunawapenda❤

dorcasmueni
Автор

Bonge lá nyimbo ubunifu wa Hali ya juu

amisindondi
join shbcf.ru