filmov
tv
Vital'O yaivulia kofia Yanga SC, wapiga tizi dimba la KMC

Показать описание
“Yanga ni bora sehemu zote” maneno ya Kocha wa Vital’O ya Burundi, Parris Sahabo akizungumzia kiwango cha wapinzani wao Yanga SC, ambao watavaana nao Jumamosi ya Agosti 24, kwenye mchezo wa mkondo wa pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
#YangaSC
#YangaSC
Комментарии