Vital'O yaivulia kofia Yanga SC, wapiga tizi dimba la KMC

preview_player
Показать описание
“Yanga ni bora sehemu zote” maneno ya Kocha wa Vital’O ya Burundi, Parris Sahabo akizungumzia kiwango cha wapinzani wao Yanga SC, ambao watavaana nao Jumamosi ya Agosti 24, kwenye mchezo wa mkondo wa pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika.

#YangaSC
Комментарии
Автор

Kosa kubwa sana hilo kutaka kumzoe utakula 5 mzee baba

Major-Incharge
visit shbcf.ru