Kadi mbili nyekundu | Simba 0-0 Coastal Union | NBC Premier League 31/10/2021

preview_player
Показать описание
SIMBA VS COASTAL UNION: Ilikuwa ni mechi dume iliyomalizika kwa sare ya bila kufungana kati ya mabingwa watetezi, Simba SC dhidi ya Coastal Union. Katika mechi hii wachezaji wawili Benedictor Jacob wa Coastal na Henock Inonga baka wa Simba walijikuta wakitolewa nje kwa kadi nyekundu. Tazama kilichotokea.

Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Azam siku hizi..mnatoa vitu kwa wakati
Hongereni sana

muddymuzungu
Автор

Halali tu makolo wakikosa ubingwa mwaka huu wametuburuza sana miaka 4 ligi kuu na miaka mi 2 FA Mwaka huu wetu mungu wetu wote lazima atoe kwa zamu tu

allymtungunyu
Автор

Na bado nasema na badooo mtapiga vichwa kama ma Shaolin temple vile 😂😂😂🇹🇿🇦🇪 Yanga tupo Juu kileleni mfano wa mlima kibo au mawenzi mtupe tu kombe letu 🏆2021-2022 mapema 🔥

hassanparamana
Автор

Wameushindwa mpira wanaanza kutumia vichwa ma kolo fc na bado msimu huu mtatoka wa 5

hamidayanga
Автор

Sasa Refa ana makosa Gani na amejitahidi kadri awezavyo kufanya maamu hii bongo bwana !

abubakarnabahani
Автор

Huyu ni DULA M BABE AMA TWAHA KIDUKU, kwenye nembo yenu mngechora mnaweza pia kucheza boxing ndani ya Moira wa miguu

pcpoint
Автор

NBC maanake new bongo champions yaani mwenda tezi na Omo marejeo ni jangwani!!!

abdallahsharif
Автор

Hivi hii ni Simba SC kweli inapata shida hivi kwa Coastal union 😂😂😂😂

robertjunior
Автор

Mm naona kwampila hv sasa hamna lamda sasa ungeandaa kituo cha kupigana

swamweliteobady
Автор

Coast huyu mchezaji wenu mujaribu kumtathini atakua kapewa pesa sio kwa ujinga huo

stevemwakisimba
Автор

Bado sana Simba hii na chama haludi ndo mtajua hamjui

ahombilesanga
Автор

Yani azamtv ni media kubwa east afrika lakin mnafeli sana kwenye slow motion mnapitwa hata na star times kule Kenya tafuteni producer wa viwango afrika awafanyie kazi vzuri kama wenzenu dstv wanawaacha mbali kila mwaka hamubadiliki

gwakisamwakabulutu
Автор

Simba ipo vizuri sana, , basi tu bahati haipo kwao, , ukizingatia na hizi timu zinaikamia sana Simba hadi wanapewa ahadi za pesa

danikilawe
Автор

Hawa Waamuzi ndio chanzo cha kuua morali ya wachezaji na kuinadalia Mikia Fc ushindi

geraldmwandolela
Автор

Yani hii simba ya hv sasa kinacho ibeba ni mashabiki lkn wala haina tofauti na azam

swamweliteobady
Автор

Jifunze quran kusoma na kuandika gusa picha yang

muhammadkipangatv
Автор

Refa kidogo ajikojolee aljua nae anakula kichwa nakupenda inonga kuanzia Sasa hakuna atakae kusogerea kizembe😅😅😅

mwahanceymuyyah
Автор

Wanashangilia droo, hawa pumbavu wa tanga

labanakyoo
Автор

Hahahaha jaman mpaka vichwa kama ma Beberu duuuh

bornfaceisaalivisonisaa
Автор

This is fakari Uongozi wa simba na benchi la ufunfundi lazima wawe mkini

gabjoni