Je Kipimo Cha Mimba Mstari Moja Kufifia Ni Mjamzito kweli au Lah? (Mstari Miwili Moja Kufifia)!!?

preview_player
Показать описание
Kipimo Cha Mimba Cha Kinaonesha lini, Kipimo Cha Mimba Cha husoma lini.

Bonyeza link hii hapa chini ili kusubscribe channel hii

Je Dalili gani za Mtoto kugeuka Tumboni mwa Mjamzito

Dalili za mimba kwa baba kijacho

Je Njaa kali kwa Mjamzito na katika kipindi cha Ujauzito husababishwa na Nini?

Je maumivu Ukeni kwa Mjamzito husababishwa na Nini?

Jinsi ya kugeuka na kulala kitandani Mjamzito mwenye Tumbo kubwa Sana au Mimba kuanzia miezi mitano na zaidi.

Je Sababu gani hupelekea Mjamzito kuchoka sana katika kipindi cha Ujauzito.

Je Mjamzito anaruhusiwa kula PILIPILI au PILIPILI huwa na madhara kwa mjamzito?

Je vihatarishi vipi hupelekea Mjamzito kuwahi kujifungua kabla ya wakati

Je sababu gani hupelekea kuchelewa kujifungua kwa Mjamzito? Bonyeza link hii hapa 👇👇👇👇

Kwa nini Mimba ya kiume Mjamzito huchelewa kujifungua? sikiliza 👇👇

Jinsi ya kupata Mtoto wa jinsia unayotaka;

Dalili za Mimba ya jinsia ya kiume bonyeza link hapa.

Mjamzito mwenye Damu group O na mume mwenye group A au B mimba huweza kuharibika pia?

Je madhara ya kuchelewa kujifungua ni yapi? bonyeza link hapa!

Sababu zinazipelekea Mtoto kucheza sana Tumboni mwa Mjamzito.

Fanya hivi ili kupata usingizi wa kutosha ktk kipindi cha Ujauzito

Sababu za Mtoto kupunguza kucheza au kuacha cheza Tumboni

Faida ya Asali kwa Mjamzito bonyeza link hii

Unaweza kujifunza masomo kupitia Instagram

Nifuatilie kwenye website hii kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito.

Nifuatilie kwenye Facebook page kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito.

Usisahau kudownload app ya Mama Afya Bora kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito.

#KipimoChaMimba
#Drmwanyika
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Doctor mm napata dalili ya mimba na sijaingia period ila mstar upo kwa mbal mpk ungalie juan kipimo nikwel mm mjamzito

HadijaJuma-tbsl
Автор

Waooooh Asante sana doctor umenisaidia Sasa ni mjamzito

JacklineKaleby
Автор

Doctar, mimba zabibu ucheza km mimba ya kawaida? Na ukuza tumbo?

suzanaalphonce
Автор

Doctor please nisaidie mimi nina myezi miine nilipima mala ya kwanza ikaonesha mstali miwili ila wwapili ulikua unafifia nakila nikipima inaonesha vile vile na pia nilijalibu kwenda hospital malatatu yote ila Doctor alisema sina mimba nakingine maziwa yanauma pia ya mevimba nakila asubuhi mimi uwanasikia kinywa kichungu sasa sijuwi nifanye nini kweli😢

Sharirer
Автор

Me nimepima mistari miwil imefifia nini maana yake doctor

SarahWillison-yz
Автор

Dictor me mra ya kwanza nlipima mchana ukwa umefifia mra ya pili nkapiwa wa asubh ndo ilitokea vilevle2 Kwan xhda nn

MauwaMagesa
Автор

Doctor me nimepima nikaona mistar miwil mmoja umekolea na mwingine umefifia cha kushangaza baada ya dakika 5 nikapima kwa kutumia kipimo kingine ikaonesha mstari mmoja

AnithaKagiti
Автор

Samahani doctor.. baada ya kutoa mimba iyo hormone ya HCG inatoka mwilin baada ya mda gan...

SekelaMwakagile-uqgk
Автор

Yan docr mm najiuliza kwann umekua ivyo

NiceJohn-cd
Автор

Docta me napata maumivu tumbo linauma kama niko period lkn dam sizioni shida inakuwa wap

NellyHadrah-wyvh
Автор

Doct mm nimepima ujauzito kipimo kikaonyesha mstar mmoj umekolea mwingine umefifia baada ya siku tatu dam ikatoka nyepes kwa siku moja t nimekaa wik mbili baad ya kupima ila leo tumbo limeuma San na dam zimetok shid inakuw nn jamn

ElizabethMollel-crln
Автор

Je ukipima na isipotoke mistari kabisa inakuwaje?

HaroubJaka
Автор

Habari doctor naomb kuulza nilijarib Kutoa mimba na na damu ilitok cku Moja Tu tena ilikuw ni Kwa maxaa swali Lang naulz je itakuw imetoka au bad?

margrethalex
Автор

Dr samahani ukiwa umemalza kushiliki tendo la ndoa na ukapata ujauzito mimba inaweza kucheza baada ya wiki

marywinchislaus-yrnb
Автор

Pia km mtu yuko karibu na kuxhika mimba docter huwa joto laongezaka ama ni vipi

faithkatana
Автор

Me nimepime niona msatri moja na mwingine unafifia sana je nina mimba na maziwa ya nauma sana tumbo

TeddyPeter-ke
Автор

Doctor samahani me nilikuwa na mimba ya week moja nikaamua kuitoa lakni sijatoka mabonge ya damu nw piah dam ilitoka kidgo san kwa sku moja je bado na mimba au

NnkoAngel
Автор

Samahani doctor.mimi nilitoa mimba ya wiki mbili nika bleedy alafu mara nikaanza kusikia kichefu chevu kutapika kukosa hamu ya kula nikapima tena ikatoka mistari miwili lakini mwengine umefifia moja umekolea

AGNESKINGI
Автор

Me ilionesha kufifia ila nilivo pima Tena aikuonesha😢

NehemaAlvn
Автор

Mimi Ninahisi Nina mimba lakn nimepima imetokea mstarii mmoja pekee yake inamaanisha ninii na ilitakiwa niingie period tarehe 10 mpaka leo tarehe 29 na maziwa yanauma na maumivu chini ya kitovu na uchafu mweupe unatokaa

PendoMwitaz