RAIS DKT. SAMIA ANAZUNGUMZA NA MACHIFU CHAMWINO IKULU

preview_player
Показать описание
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Anazungumza na Machifu Chamwino Ikulu Dodoma leo tarehe 20 Julai, 2024.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Kama kweli nyie ni machifu na mnajua machifu waliotangulia mbele za haki walipigania nini... Mwambieni chifu HANGAYA kuuza au kukabidhi Ardhi ya Tanganyika kwa wageni ni kosa lisilosameheka.. Atunze na kulinda raslimali za Tanganyika. Vinginevyo nanyi mtaingie kwenye hukumu na machifu waliowatangulia watainuka.

EliaoniTerry
Автор

Mimi shida yangu ni kumuona Rais nitapataje fulsa hiyo?

FatumaLali-kz
Автор

MUHESHIMIWA RAIS UMEONGEA KITU MUHIMU MNO LA WAFUGAJI, HAWA NI WAHARIBIFU MNO NA NI VEMA SERIKALI IKAZIREJEA TENA SHERIA ZA UFUGAJI NA KUHAMA HAMA, WEKENI MIPAKA YA MAPORI YA SERIKALI ILI WASIWEZE KUYAVAMIA

salmanmagwe
Автор

Nape anaporopoka wewe unakas kimys vipi machifu wao.unawataka waseme.!!
Wizi wa kura kwako harari????

alphoncehanura
welcome to shbcf.ru