UNALIJUA TUNDA WALILO KULA ADAM NA EVA BUSTANI YA EDEN?

preview_player
Показать описание
@WATUWAMJUEMUNGU @holinesstvtanzania378 Adam na Eva walikula tunda gani?
Комментарии
Автор

Mungu anapozungumzia mtu anazungumza katika wingi wa watu wa kila kabaila jamaa na lugha.Hivyo Adamu hakuwa peke yake alikuwa katika watu wa kila jamaa na Lugha.Na wote jina lao liliitwa Adamu na kila mmoja alikuwa na mke wake.Kama ilivyo leo kuna waafrika, wahindi, wazungu, wachina nk..Hivyo ndivyo Adamu alivyo tangu mwanzo. Hivyo zinaa ili kuja hivi waliambiwa kila mtu na awe na mke au mume wake nwenyewe.Lakini walitoka nje ya ndoa zao ndipo kikazaliwa kizazi cha zinaa ndicho kinaitwa kizazi cha nyoka au ibilisi.Hivyo kitendo cha kumuacha mke wako na kuowa mwingine ni sawa na kula tunda ulilokatazwa kula.Wakati uliruhusiwa kulala na mke wako tu.Hivyo uhusiano wa zinaa na tunda upo kabisa wala siyo hadithi.

wanejohnmsukwa
join shbcf.ru