Serikali hauhusiki hapo juu wakati mnapendana ni roho yenu kwa hivo anzeni kufanya uamuzi kina kabla mpendane.Serikali itakulinda kwa 25% lakini wewe ujilinde 75% Hii tabia kupenda watu msiowaelewa ama vijana wa tamaa punguzeni.May her soul RIP.
wayweshPeter
muko na Mali yenu wachaneni nahawa wauwaji
peterngishu
Unaomba president na hata yeye ni moto ya kuotea mbali...