🔴#LIVE​​​​​​​​​​​: MSTAAFU KIKWETE Aongoza MAZISHI ya PROF NDULU (GAVANA MSTAAFU wa BOT)

preview_player
Показать описание
🔴#LIVE​​​​​​​​​​​: MSTAAFU KIKWETE Aongoza MAZISHI ya PROF NDULU (GAVANA MSTAAFU wa BOT)

MWILI wa aliyekuwa Gavana Mstaafu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Prof. Benno Ndulu, umeagwa leo Februari 25, 2021 na kuzikwa kwenye makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam...

Kabla ya wadhifa huo, Ndulu, alikuwa Profesa wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, pia amewahi kufanya kazi benki ya Dunia.

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:

⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)

⚫️ OUR PLAYLISTS:
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Nchi nzima vilio vimetanda... Mtetezi wetu Yesu, tuepushe na janga hili la Covid, , ,

claudinemaxime
Автор

R. I. P Kaka Ndulu, umetuachia huzuni kubwa

nancympangile
Автор

Corona ndio janga letu Tz. Kikwete ana barakoa wewe mwezangu mimi msikilize magu kama hukukohowa vigae kama Prof (muhongo mpango) anaongea utazani kalishwa nyenje,

sasha-ritf
Автор

Upumzike kwa Aman huko uendako ss tupo nyuma yako tunakuj

aminatanzanya