filmov
tv
ZITTO AKUTWA NA KESI YA KUJIBU, ONA ALIVYOTINGA MAHAKAMANI LEO..
Показать описание
ZITTO AKUTWA NA KESI YA KUJIBU, ONA ALIVYOTINGA MAHAKAMANI LEO..
Katika hatua nyingene Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemkuta na kesi ya kujibu Mbunge huyo wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe kupitia tiketi ya chama cha ACT- Wazalendo kutokana na kesi ya uchochezi iliyokuwa inamkabili anayekabiliwa.
Hatua hiyo imefikiwa leo Februari 18 na Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi ambapo amesema, amepitia ushahidi wote uliotolewa na mashahidi upande wa mashtaka na kuona mshtakiwa ana kesi ya kujibu, hivyo atatakiwa kujitetea.
Kufuatia taarifa hiyo Zitto ambaye anatetewa na Wakil,i Jebra Kambole amedai atajitetea kwa njia ya kiapo na ataanza kujitetea Marchi 17 hadi 20 mwaka huu.
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Marchi 17,18,19 na 20 mwaka huu.
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
(+255 784 888982)
( +255 676 229628)
HABARI MPYA DAILY:
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
GLOBAL RADIO TV:
EXCLUSIVE INTERVIEW:
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Katika hatua nyingene Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemkuta na kesi ya kujibu Mbunge huyo wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe kupitia tiketi ya chama cha ACT- Wazalendo kutokana na kesi ya uchochezi iliyokuwa inamkabili anayekabiliwa.
Hatua hiyo imefikiwa leo Februari 18 na Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi ambapo amesema, amepitia ushahidi wote uliotolewa na mashahidi upande wa mashtaka na kuona mshtakiwa ana kesi ya kujibu, hivyo atatakiwa kujitetea.
Kufuatia taarifa hiyo Zitto ambaye anatetewa na Wakil,i Jebra Kambole amedai atajitetea kwa njia ya kiapo na ataanza kujitetea Marchi 17 hadi 20 mwaka huu.
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Marchi 17,18,19 na 20 mwaka huu.
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
(+255 784 888982)
( +255 676 229628)
HABARI MPYA DAILY:
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
GLOBAL RADIO TV:
EXCLUSIVE INTERVIEW:
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
ZITTO AKUTWA NA KESI YA KUJIBU, ONA ALIVYOTINGA MAHAKAMANI LEO..
ZITTO AKUTWA NA KESI YA KUJIBU/MASHAHIDI KUMI KUMTETEA
KESI YA ZITTO KABWE: SERIKALI AELEZA ALIVYOSHUHUDIA MAITI 18 KICHAKANI
UTETEZI WA ZITTO KABWE MAHAKAMANI LEO KESI YA UCHOCHEZI..
MAHAKAMANI: KESI YA ZITTO KABWE YARUDI, YAKWAMA KUSIKILIZWA
VIDEO: KINACHOENDELEA MAHAKAMA KUU KESI YA ZITTO KABWE NA WENZAKE
KISUTU, DAR: MBUNGE ZITTO KABWE AKUTWA NA KESI YA KUJIBU - Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemkuta
KILICHOTOKEA MAHAKAMANI KESI YA ZITTO KABWE,AKUTWA NA HILI KUBWA
ZITTO AMEMPELEKA MAGUFULI MAHAKAMANI/AKUTWA NA KESI YA KUJIBU/AMEFANYA UCHOCHEZI KWA RAIS 'MAHA...
KESI YA ZITTO: Mahakama yatoa sababu ya kuiondoa 'Kwa gharama'
ZITTO AZUIWA KUONGEA MAHAKAMANI LEO, ANASHTAKIWA KWA KOSA HILI..
KAULI YA ZITTO BAADA YA KUTOKA MAHAKAMANI, ATAJA KESI ZAKE ZOTE...
HUKUMU YA ZITTO LEO: ULINZI Mkali MAHAKAMANI, ASKARI kila KONA, Ona HALI YAKE Ilivyo...
GLOBAL HABARI DEC 13: Kesi ya ZITTO Bado Nzito, Ashusha Mashahidi 15!
ZITTO KABWE AKUTWA NA KESI YA KUJIBU
ZITTO AIBWAGA SERIKALI KESI YA CAG
WAKILI wa ZITTO Afunguka USHAHIDI wa VIDEO ULIVYOTUMIKA Mahakamani Leo..
MAPYA ALIYOELEZWA ZITTO KABWE MAHAKAMANI 'NITAKUJA NA MASHAHIDI 10'
TIDO MHANDO akutwa na kesi ya kujibu, mahakama yamtaka ajitetee
KESI YA ZITTO: USHAHIDI WA RUNINGA WATOLEWA KISUTU/WAKILI WAKE AELEZA
BREAKING: MAHAKAMA YATUPILIA MBALI KESI YA ZITTO KABWE NA WENZAKE
WAKILI WA ZITTO - ''HATUKUBALI HUKUMU ILIYOTOLEWA TUTAKATA RUFAA''
MBOWE AKUTWA NA KESI YA KUJIBU, MASHAHIDI ZAIDI YA 20 KUWATETEA...
KESI YA ZITTO DHIDI YA RAIS MAGUFULI ILIOVYOPINGWA
Комментарии