ZITTO AKUTWA NA KESI YA KUJIBU, ONA ALIVYOTINGA MAHAKAMANI LEO..

preview_player
Показать описание
ZITTO AKUTWA NA KESI YA KUJIBU, ONA ALIVYOTINGA MAHAKAMANI LEO..

Katika hatua nyingene Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemkuta na kesi ya kujibu Mbunge huyo wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe kupitia tiketi ya chama cha ACT- Wazalendo kutokana na kesi ya uchochezi iliyokuwa inamkabili anayekabiliwa.

Hatua hiyo imefikiwa leo Februari 18 na Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi ambapo amesema, amepitia ushahidi wote uliotolewa na mashahidi upande wa mashtaka na kuona mshtakiwa ana kesi ya kujibu, hivyo atatakiwa kujitetea.

Kufuatia taarifa hiyo Zitto ambaye anatetewa na Wakil,i Jebra Kambole amedai atajitetea kwa njia ya kiapo na ataanza kujitetea Marchi 17 hadi 20 mwaka huu.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi Marchi 17,18,19 na 20 mwaka huu.

UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE

(+255 784 888982)

( +255 676 229628)

HABARI MPYA DAILY:

HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:

GLOBAL RADIO TV:

EXCLUSIVE INTERVIEW:

Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

aiseeee jamaaa katinga bila uoga wala hofu zito

mohamedkongoroka
Автор

Mtuumiwa Sio Mkosefu Ivo Kusema Katinga Bila Of Kwani Nani Kasema Mtuumia Awe Na Of Kwenye Nchi Zenye Viongozi Wa Kutenda Aki Kwanini Awe Na Of

awadhirajabu