filmov
tv
SEKUNDE 60 | Magolikipa watatu ambao wametisha zaidi msimu huu

Показать описание
SEKUNDE 60 za Leonard Musikula zimekuja na ‘vita’ ya kuwania Tuzo ya Golikipa Bora kwenye NBC Premier League msimu huu huku zikiwagusa magolikipa watatu kati ya wengi ambao wameshaonesha makali.
Hapa tumekuletea Yona Amos wa Pamba Jiji, Jonathan Nahimana wa Namungo FC na Moussa Camara wa Simba SC.
Je unataka sekunde 60 zijayo zije na takwimu za mchezaji gani wa #NBCPL?
#Sekunde60
Hapa tumekuletea Yona Amos wa Pamba Jiji, Jonathan Nahimana wa Namungo FC na Moussa Camara wa Simba SC.
Je unataka sekunde 60 zijayo zije na takwimu za mchezaji gani wa #NBCPL?
#Sekunde60