Kaongea point ambayo sijawai kumsikia mtu yeyote, kawachambua vizuri kwa mawazo yangu pia, i can give him like
KUZZI_TV
Azaboy nimnoma kwa freestyle anamaneno mengi๐
samuelmiryango
Mi ni mkenya hapo kwa Leonardo nakataa. That guy is international material
AbuAdnazmin
Kipotoshi ni wa maana sana na marafiki zake wote ni wa Cheka Tu sijui anakwama wapi si ajiunge Cheka Tu aachake na Wale Watu Waliobaki in the past like they have no future