NI KWELI MAHAKAMA ZETU ZINAUA KULIKO SERIKALI?

preview_player
Показать описание
Turejee shauri la wananchi dhidi ya TAMISEMI na uchaguzi
Комментарии
Автор

Mfumo unatumiwa na serikali hii ni hatari Kwa taifa hili mkatae, mkubali hili ni fundo au kidonda chenye usaha unaokula ndani Kwa ndani, na usaha huu ukifumka ni maumivu makali. "Muda utaongea tusubiri".

salummohamed
Автор

Hii ni msiba kwa Taifa😢 inauma sanaa bila Katiba mpya democrasia na Haki vinavyo chochea maendeleo ya Nchi tusahau 😢😢😢

joejosca
Автор

Nafikiri mahakama za Kenya ziko vizuri zaidi katika ukanda wetu huu, kwingineko ni kama kuchosha akili tu, Kenya Mungu awabariki sana mahakimu na majaji endeleeni kusimama upande wa haki wala msiache kufanya hivyo, amin!.🤝👏🏻

wasengaswillah
Автор

MAHAKAMA ZA TANZANIA ZINAONGOZWA NA CHAMA TAWALA(CCM) NA POLISI INAONGOZWA NA CHAMA HICHO HICHO KWA HIYO HAKUNA HAKI.KATIBA .MPYA NI MUHIMU SANA LAKINI VIONGOZI HAWAONI WALA HAWASIKII UKWELI HUU.TAYARI TAIFA LIMEANGAMIA

AlanMbilinyi
Автор

MAHAKAMA ZETU ZIMEKUWA 'MAKUWADI' NA 'MAWAKALA' WA SERIKALI....NA NI "TAWI' LA SERIKALI NA BUNGE....MSIBA MKUBWA KWA TAIFA LA TANZANIA

MiriamAziz-zt
Автор

Hivi kweli mahakama zetu zinazingatia uhalisia na haki nchini, ni hatari sana tuendako, nakubaliana na mh Makonda

joshuaswai
Автор

Wenye akili timamu wanelewa nini kinacho endelea...wafanya kazi mahakamani wanalinda tumbo zao !!!

knight
Автор

Tanzania tuna vihiyo nasio kama wanavyoitwa majaji wa mahakama baadhi ya majaji wanatumiwa na serikari ya CCM na sio kutetea na kulinda haki ya kikatiba

donaldbenedict
Автор

Mahakama ni watumwa wa Ikulu!!! Taifa liko HATARINI!!!!

Mfsunda
Автор

Kwanini usiwe unatuletea makala hizi kila week au kila hata marambili kwa week ndugu ngurumo

Vswwgwchadafqx
Автор

Ktk hali ya kawaida muhimili wa sheria..mahakama ni mlinzi wa demokrasia ni Kinga dhidi ya hila za kisiasa kudhibiti wenye dhamana kutumia mamlaka yao vibaya!

Kasoro ktk mfumo..rufaa ikikatwa zoezi linaendelea!!

Haki kucheleweshwa ni haki iliyonyimwa.

albertkamala
Автор

Kwamaana kwa sisi wengine wewe ndo reliable source of info. Tunapata content za msingi na zakitaifa.

Vswwgwchadafqx
Автор

Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

juliuskitaluka
Автор

Mihimili miwili yaani mhimili wa bunge na mahakani imebemendwa na mhimili wa serikali, ni bora wakoloni weupe warudi watutawale mpaka tutakapojitambuwa kiakili.

AllanLyombile
Автор

Shida yetu Ni uoga. Umekuwa ukitufafanulia Mambo mengi Sana lakini tujitetee wapi mahakama yenyewe Ni ya CCM.?? Mungu tuu aingilie Kati.

thedosiamremi
Автор

Tanzania mpaka mahakama zetu zipo kwaajili ya kuhukumu wanyonge na vibaka mtaani ila wezi wakubwa wa mali zauma hao hawashtakiwi bali wanaendelea kudunda barabarani ila maskini wengi wapo jela

nelsonnyamle
Автор

MASWALI MAGUMU KUTOKA KWA KWA BWANA NGURUMO NA KWA WAPENDA HAKI WOTE 🤔🤔🤔

gowekogoweko
Автор

Mahakama za Tanzania wakajifunze jinsi ya kuongoza taasisi hii muhumu kwa kutoa haki kwa wenzetu wa Kenya, kama hatuna majaji waliosoma sheria tafadhali ajiri wakili Danstan Omari kufanya mageuzi kwa mahakama zetu au babu Khaminwa, sikumbuki jina vizuri samahani babu!?

simonnaivasha
Автор

INABIDI WANANCHI WAANZE KUJIONGEZA KUTUNGA ZILE NASIKIA ZINAITWA ZA MIKONONI, HAZICHELEWESHI WALA HAZINA

TheodoraAnatory
Автор

Madam President bado ananunua magoli ya mpira wa miguu HAKI BAADAE, hataki hata kusikia INASIKITISHA

fabby
welcome to shbcf.ru