Mfumo unatumiwa na serikali hii ni hatari Kwa taifa hili mkatae, mkubali hili ni fundo au kidonda chenye usaha unaokula ndani Kwa ndani, na usaha huu ukifumka ni maumivu makali. "Muda utaongea tusubiri".
salummohamed
Hii ni msiba kwa Taifa😢 inauma sanaa bila Katiba mpya democrasia na Haki vinavyo chochea maendeleo ya Nchi tusahau 😢😢😢
joejosca
Nafikiri mahakama za Kenya ziko vizuri zaidi katika ukanda wetu huu, kwingineko ni kama kuchosha akili tu, Kenya Mungu awabariki sana mahakimu na majaji endeleeni kusimama upande wa haki wala msiache kufanya hivyo, amin!.🤝👏🏻
wasengaswillah
MAHAKAMA ZA TANZANIA ZINAONGOZWA NA CHAMA TAWALA(CCM) NA POLISI INAONGOZWA NA CHAMA HICHO HICHO KWA HIYO HAKUNA HAKI.KATIBA .MPYA NI MUHIMU SANA LAKINI VIONGOZI HAWAONI WALA HAWASIKII UKWELI HUU.TAYARI TAIFA LIMEANGAMIA
AlanMbilinyi
MAHAKAMA ZETU ZIMEKUWA 'MAKUWADI' NA 'MAWAKALA' WA SERIKALI....NA NI "TAWI' LA SERIKALI NA BUNGE....MSIBA MKUBWA KWA TAIFA LA TANZANIA
MiriamAziz-zt
Hivi kweli mahakama zetu zinazingatia uhalisia na haki nchini, ni hatari sana tuendako, nakubaliana na mh Makonda
joshuaswai
Wenye akili timamu wanelewa nini kinacho endelea...wafanya kazi mahakamani wanalinda tumbo zao !!!
knight
Tanzania tuna vihiyo nasio kama wanavyoitwa majaji wa mahakama baadhi ya majaji wanatumiwa na serikari ya CCM na sio kutetea na kulinda haki ya kikatiba
donaldbenedict
Mahakama ni watumwa wa Ikulu!!! Taifa liko HATARINI!!!!
Mfsunda
Kwanini usiwe unatuletea makala hizi kila week au kila hata marambili kwa week ndugu ngurumo
Vswwgwchadafqx
Ktk hali ya kawaida muhimili wa sheria..mahakama ni mlinzi wa demokrasia ni Kinga dhidi ya hila za kisiasa kudhibiti wenye dhamana kutumia mamlaka yao vibaya!
Kwamaana kwa sisi wengine wewe ndo reliable source of info. Tunapata content za msingi na zakitaifa.
Vswwgwchadafqx
Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana
juliuskitaluka
Mihimili miwili yaani mhimili wa bunge na mahakani imebemendwa na mhimili wa serikali, ni bora wakoloni weupe warudi watutawale mpaka tutakapojitambuwa kiakili.
AllanLyombile
Shida yetu Ni uoga. Umekuwa ukitufafanulia Mambo mengi Sana lakini tujitetee wapi mahakama yenyewe Ni ya CCM.?? Mungu tuu aingilie Kati.
thedosiamremi
Tanzania mpaka mahakama zetu zipo kwaajili ya kuhukumu wanyonge na vibaka mtaani ila wezi wakubwa wa mali zauma hao hawashtakiwi bali wanaendelea kudunda barabarani ila maskini wengi wapo jela
nelsonnyamle
MASWALI MAGUMU KUTOKA KWA KWA BWANA NGURUMO NA KWA WAPENDA HAKI WOTE 🤔🤔🤔
gowekogoweko
Mahakama za Tanzania wakajifunze jinsi ya kuongoza taasisi hii muhumu kwa kutoa haki kwa wenzetu wa Kenya, kama hatuna majaji waliosoma sheria tafadhali ajiri wakili Danstan Omari kufanya mageuzi kwa mahakama zetu au babu Khaminwa, sikumbuki jina vizuri samahani babu!?
simonnaivasha
INABIDI WANANCHI WAANZE KUJIONGEZA KUTUNGA ZILE NASIKIA ZINAITWA ZA MIKONONI, HAZICHELEWESHI WALA HAZINA
TheodoraAnatory
Madam President bado ananunua magoli ya mpira wa miguu HAKI BAADAE, hataki hata kusikia INASIKITISHA