Kijana Wa MAGUFULI Chato Achana Mistari kwa Rais Samia, Apewa Bahasha Akionesha Umahili wake

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Huyu kijana ni zaidi ya akina diamond na harmonize huyu ndiye anafaa siyo wasanii maarufu na ujanja ujanja

paschalpaul
Автор

Gamboshi kwenye nyumba zaupigwe lipu za nyama

josephmasuma
Автор

Makweri nasiya wivu kwauyu kijana iko impala wangine mutusi kutuvariya uci muyimbaji mahili Allah akuhifathi mutoto wetu Allah akuondoreye misukosuko nième Aminiiii

mariamMilha-stqu
Автор

Huyu kijana ni mtu wa muhimu sana akiendelezwa, apewe nafasi

AloyceAssenga-zo
Автор

Huyu kijana taifa limtambue wampe nafasi huyu ndiye msanii kiooo Cha jamii achana na hawa waimba matusi na nyimbo za mapenzi hao Ni kioo Cha ngono na uchafu tu na kuporomosha maadili ya jamii. Huyu kijana inafaa apromotiwe nyimbo zake zinajumbe muhimu Sana kwa taifa.

mungoseme
Автор

safi siyo vile visanii vinatuimbia uchi

husseinally
Автор

Soda ikulu ila sijapenda wamekatisha mwimbo afu mtangazaji heshimu kila mmoja kwa nafasi yake chumvi gani na raisi kaongea na wengine wamesikia

mankacharles