🔴#LIVE: RAIS SAMIA ALIVYOZINDUA MABORESHO YA GATI ( 0 - 7 ) BANDARI YA DAR ES SALAAM..

preview_player
Показать описание
🔴#LIVE: RAIS SAMIA ALIVYOZINDUA MABORESHO YA GATI ( 0 - 7 ) BANDARI YA DAR ES SALAAM..

Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, leo, Desemba 04, 2021, ametembelea bandari ya Dar es salaam kujionea maboresho makubwa ya miundombinu pamoja na kuzindua maboresho ya Gati 9 ( 0 - 7 ) katika bandari ya Dar es salaam.

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:

⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)

⚫️ OUR PLAYLISTS:
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mama anafurahisha san tunakupenda watanzania

msongamwinyi
Автор

Mh. Samia, hivi hii bodi si ni ya Magufuli?! Basi inaipinga Bandari ya Bagamoyo iliyokuwa chanzo cha vifo vya wana Mtwara. So, wa Tz si wajinga. Baada ya hapo ua na bodi ya TRC. Reli itazuia malori ya mizigo kusambaza bidhaa.

tanzaniakwanza
Автор

Gari bovu gari bovu, kumbe ni bodi ya jabali la Afrika Jpm! DG anasubiri kitini! Kadogosa. Mshale huoooo. Litakuwa ni kosa kubwa la kiufundi kama Kadogosa ataondolewa TRC. Samia utakuwa umeigawa Tz ktk mapande ma4. Unabii wa Daniel timilifu. Goodday!

tanzaniakwanza
Автор

Mama jiuzilu achia wenye iwezo waongoze nchi

abdalahally
Автор

We unakubari kila kitu unacho ambiwa use u are common sense.

albertinamichael