PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI PART 66 | Love Story #love

preview_player
Показать описание
#love
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

WANGAPI WANAMUHURUMIA TINA NA BABA YAKE??

Dontatv
Автор

Wangapi tunampenda Allah kuliko hii movie mikono juu

neemakoi
Автор

Nani anaamini kelvin atadumu kwa kampun ya babake agonge like

HellenMwamburi-hy
Автор

Nimeawah leo kama unampenda Mungu dondosha like nawapenda sana wote mnaofuatilia movie za familia ya Donta tv

NasrahSalmah
Автор

Tunapendekeza denis atolewe kwenye kampuni ya kelvin tujuane

AnnaEugen
Автор

Wangapi tumetazama hii*movie tokea part 1 tadi leo hii ✅ .... Weka like jameni 💞 much love from Kenya ✅✅

annastaciaSyombua
Автор

Maombi kwa inchi Yetu Congo kwa vita kwa kila mtu anafata mtoto wa boss

ArthurArthur-eq
Автор

Wangapi wamefurai kelvin kumsamehe loveness tutambuane ❤❤

JastFinancial
Автор

Nimefatilia hii movi partie 1 kufika sasa nawapend sana❤❤❤ Kelven na Loveness dont TV ❤❤

HarumukizaAllainchristian
Автор

Wanao furahi wakiona tina na baba yake wanatexeka gonga laiki ap 😅😅

ShamsiMandanda
Автор

Nimechelewa leo jmn sijawahi fikia kiwango hiki niseme neno moja tu kaka khelvin kua makini sana usije ukafilisika tena nitaumia sana ❤❤

Emelanciene
Автор

Leo nimewai yeyote atakae soma hii coment hii mungu akubariki sana 🙏🏼

BridiesaxineShikati
Автор

❤❤❤❤❤ , hongereni sana Kelvin na Group lako kwa kutuburudisha ikiwa ni pamoja na mafundisho mazuri kabisa kwenye maisha.
Ahsante sana.

sadickmwaiwola
Автор

Hongera sanaaa popote muripo mungu aeneze maombi yenu❤❤❤❤ Kigali 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼 turabakunda cyaneee ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

nshimiyimanaalex
Автор

Waliokuwa wanaisubiria hii episode like hapaaa tafadhali 🥰🥰🥰

QweenNickson
Автор

Leo nimechelewa sana sijui kama nitapata hata like kumi jameni😂😂

RashidKhanOmar
Автор

Kelvin ushauli wangu ni huu, hakikisha hupotezi Mali na pia jitahifi saana mama asife ili aone matunda yako na lovenes huku tina na baba yake wakiendelea kuteseka wafanyie ubaya ubwela❤

SiwemaJohn-od
Автор

Waa ni kumoto 😂😂😂 Kelvin naomba kua makini Denis hna mpango mzri na ww kabisa❤❤❤, na katika hii movie nmejifunza kitu kutokata tamaa, nawapenda 🇰🇪🇰🇪

BintiM-diwm
Автор

Ila hakuna mtu mjinga kama Tinah mchongo yote alivyo mpa hakufanikisha tena bado akamuamini nakumpa vitu amuuzie kweli siku ya kufa nyani miti yote huteleza😅😅

maseleenaesleen
Автор

Nimechelewa kidogo kutoka Moçambique lakini naombani like 👍 kwa kazi nzuri saanaa brother kelven 🤔🔥🙏🌹🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🌹💐💗

TonyCristy-vu
visit shbcf.ru