AMKA NA BBC LEO, URUSI YAJIANDAA NA MASHAMBULIZ MAKALI, UKRAINE, HALI BADO MBAYA URUSI NA UKRAINE

preview_player
Показать описание
VITA YA URUSI NA UKRAINE: Maafisa wa ulinzi wa Ukraine wameonya kuwa Urusi inatayarisha vikosi vyake kufanya mashambulizi ya kila namna kwenye mji mkuu wa Kyiv.

Taarifa ya Jenerali wa jeshi la Ukraine ilisema kuwa vikosi vya Moscow vimeanza kukusanya rasilimali kwa ajili ya kushambulia mji huo, huku vifaru na vitengo vya askari wa miguu vikiwa vinasonga mbele kuelekea mji wa karibu wa Irpin kuweka msingi.

Taarifa hiyo iliongeza kuwa makamanda wa Urusi wamekuwa wakivipatia vikosi vyao mafuta yaliyosafirishwa kutoka Belarus kupitia eneo la kutengwa la Chernobyl.

©TUNAKUPA HABARI ZA UHAKIKA KUTOKA VYANZO VYA KUAMINIKA
---------------------------------------------------------------------------------

-----------------------------------------------------------------------------------
REPORT TO US
If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.

COPYRIGHT VIOLATION
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mungu ni mwema wewe urusi cy mungu ninaimani mungu hatakujibu kwa wakati kwani wewe cy mungu Kama mungu yupo na yote haya anayaona utajuta kwa nini uliyafanya haya

salamaseif
Автор

America na Majesh ya ulaya watafadhili pale rais wa UKRAINE amepinduliwa vikibaki vikundi vidogo vidogo vinavyopigania nchi yao sjui nimeeleweka!?

kijanawakisouth
Автор

Ukweli wote huwapa kuhusu vitaa juu ya UKREN na URUSI.

cdwakikando