TAFSIRI: KUOTA NDOTO UNASIKIA SAUTI IKIZUNGUMZA NAWE - MAANA NA ISHARA

preview_player
Показать описание
KARIBU NDUGU MPENDWA

WHAT'S APP +255 683 272 357

#DNJLSTUDIO #2023 #©™✓ #YOUTUBE #SHORTS #GOD #JESUS #LORD #GOOGLE #LIFE #DMENDTV
#JIPEMEDIA #LITEMEDIA #NGUNAMEDIA
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Habari ndugu nikweli kabisa unapolala ukasikia saiti niujumbe unaletew hata mm nililala nikasikia naambiwa usifikiri kua umemaliza kuzaa Bado Kuna mtt wa kiume utazaa miez sita baadae kweli nilipat are jauzito nimejifungua wakiume

khadijaomar-nxqv
Автор

Tena nikaota kuwa naenda safari na ikawa ni usiku saa nne nikajipata msituni katikati, ,ila nikasikia sauti ikinionya kuwa nirudi nisiende Kule naenda maana mda umeenda sana eti heri ingelikuwa ni saa tatu hiyo inamaana gani.

achupanorah
Автор

tatizo lagu sijawai itwa nikiwa usigizini naitwa kabisa jina lagu nikiwa macho tuu

magynzioka
Автор

Hii nikweli mimi nikimuota mama ananikataza kitu nanikimuata ushauri huwo huwa napata faraja sana upo vzr my daer

otiliahaule
Автор

Na uki ota ume lala na kuna kitu kama panya ana tembeya juu yako inamanisa

rotundajane
Автор

Mm niko oman kikaz, leo nasikia sauti ya mama angu yuko tanzania ananiambia rud nyumban mwanangu

omanamenmct
Автор

Nili ota mtoto wa boss wangu anani ita lakini siku itika.

rotundajane