BBC DIRA YA DUNIA IJUMAA 06/09/2019

preview_player
Показать описание
Na Mariam Omar & Beryl Wambani
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

From Tanzania
Pole xana bona Mugabe
Pamoja na wanazimbawe

hamisimtore
Автор

Ukifanya vema katika mwanzo wako basi uwe na mwisho mwema pia!. Lakini ukianza vizuri ukamaliza vibaya sura yako ya maisha ya ushujaa na umaarufu hupungua katika mizani ya vipimo vya kibinadamu duniani! Ni kuhusu Bob Gabo Mugabe
RIP

peterbayo
Автор

Mbona wakenya wanamapengo wote..
BBC Mungu anawaona😀😀😀

symonfx
Автор

Uingereza ndio chanzo cha migogoro yote duniani. Nitajie mgogoro ambao Uingereza haihusiki kuuanzisha hapa duniani

johnkirenga
Автор

Kufia hospitari za mbali nikuonyesha jinsi ambavyo wanashindwa kujenga kwao nakujinufaisha tu .

mwebraniaonline
Автор

Wa bebero noma sana atujali na nyie nyokooo zenu

jaybossmoses
Автор

Magazeti ya Kibeberu na kibaguzi lazima yamkemee. Africa sio Ulaya. Rest in peace legendary

isayakahemela
Автор

Hichi ndicho kitakacho ikumba tanzania ikiwa chama tawala kitaendelea kuwa didimiza wapimzani, kuminya democrasia kijipenda wenyewe na Wale wanao tuzunguka, kuchukua mali za wanyonge kwa mabavu. Uzalendo sio kuvunja sheria, kuwa mtu wa chuki uzalendo ni kuwapenda wengine bila kuvunja taratibu na kuwaheshimu wengine

paulokilenga
Автор

Masimba wa Africa mupumzike kwa amani.Gaddafi, Mursi na Mugabe

maherzain
Автор

Hivi mtu akiwa mzalendo kwann Kupinduliwa?

patrickmadiwa
Автор

Wazalendo tutamkumbuka Mugabe kwa uzalendo wake kwa taifa lake na bara la Afrika kwa jumla

makongorowassira
Автор

R.I.P Baba yetu. Ardhi haikua ya hao mapaka ilikua ni ya Wa Africa wa Zimbabwe. Siamini kama kuna kundi la wa'Africa wanamiliki ardhi Ulaya. Ndoa ya jinsia moja ushetani mtupu waoane wao wazungu

dominicmawala
Автор

Nchi ngapi Za Africa bado ni maskini na hali mbaya ya kiuchumi, malawi, Burundi, mali, n.k na kama ubaguzi upo hadi U.S, china n.k duniani kote

pauldaniel
Автор

Nitakukumbuka babu Mugabe hasa ile hali yako ya kuwapinga wazungu waziwazi na ndio maana wazungu walikuchukia sana ila kwangu mimi wewe ulikuwa mwamba wa Africa nzima R.I.P

wety
Автор

Mtu akisha kufa hayakosekani mema Hata Firauna alimlea Musa!!

kassimmohammed
Автор

HIVI KWA NIN ANAPOKUWA RAISI WA KIAFRIKA ANAWACHUKIA WAZUNGU ANAONEKANA NI MBABE NA MUOVU?

محمديوسف-ورط
Автор

Mugabe asingetimua wazungu, leo Zimbabwe ingekua kama afrika kusini. Kama unakubaliana na mimi tuungane

emmanuelkimath
Автор

Hatimae Mungu mtu aaga dunia..!Kwahiyo bbc hii ndo habari pekee mlioipata leo...?

piusmnanka
Автор

hao mazungu ya bifu mzee alipinga ushoga akachukua mashamba pia rais wa kwanza huwez mlaumu

deustutu
Автор

Kwangu mm nitamkumbuka mgabe kwa kupinga waziwazi utawala wa WAZUNGU hapo ndio namkubal .lakini ninachomchukia ni kutawala zimbabwe kwa mabavu

elimishanyamoga
welcome to shbcf.ru