UKIKOSEKANA UPENDO CHUKI HUJA

preview_player
Показать описание
KARIBU IPM TV.

HUDUMA HII YA EMBASSY OF GOD FOR ALL NATIONS INAYOONGOZWA NA PROPHET IPM INAPATIKANA DAR ES SALAAM TANZANIA MBEZI BEACH MBUYUNI UKIFIKA ULIZIA KWA PROPHET IPM. AU PIGA SIMU

+255 757 672 666
+255 714 284 419
Комментарии
Автор

Kwani Yesu Alikua Na Mitume Wangapi Na Hao Wote Walenda Wapi Na Huko Walikoenda Si Waliendelea Kuhubiri Kristo Unadhani Wote Walifanana Katika Kumfikisha Kristo Kwenye Maisha Ya Watu Lazima Walitofautiana LAKINI Ujumbe Wao Mkuu Ni Kristo Kwenye Maisha Ya Watu.

victorMalinga-um
Автор

Amna mtumishi Amri kumi aliandika MUNGU kwa kidole chake kila mwanadamu anapwa kuishi kwazo. Soma 1 Yohana 2:3-4
[3]Na katika hili twajua ya kuwa tumemjua yeye, ikiwa tunashika amri zake.
[4]Yeye asemaye, Nimemjua, wala hazishiki amri zake, ni mwongo, wala kweli haimo ndani yake.

Wafilipi 4:13
[13]Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.

ENEZAMBWAMBO-tqlj
Автор

Amina prophet
Nakuelewa sana hata mimi, umenifumbua vingi

MandelaKisunga
Автор

Hakuna Mtu anaweza kushika amri. that is point

luckymsomba
Автор

Mchungaji mafundisho Yako ni mia ya mia.amina

richardsalim
Автор

sisi washetani hatugawanyiki tuko pamona sana wanetu moto ni ule ule

healthytips-sv
Автор

Msingi wa ukristo ni hizo amri kumi sasa

KalebuSabato
Автор

Na ni Mungu aliruhusu ili litokee kama wanadamu wakikaa pamoja wakaelewana asilimia miamoja wanamkufurubMungu kasome habari ya mnara wa babeli utaelewa

teyllalugazia
Автор

YESU Hajagawanyika
Ni yeye yule yule jana leo na hata milele

CPHBarbers
Автор

Najisikia vibaya mtu akitaja Lutheran bila kujua kwa nini kanisa la Kilutheri lipo duniani na ndio ubayq wa kujifanya unajua kila kitu.

benjaminmbembela
Автор

Ukitaka kuwatawala watu wagawe .Divide and rule.

niceforymgaya
Автор

Imani tu isingekuwep maswla yadini tungeuwana sana tuishl kwa imani tukiamini kesho basi

HamadiOmary-hr
Автор

Hapana biblia inasema Mungu mmoja, iman moja na pia biblia inasema mkimpenda Mungu utashika amri zake soma vzur mtu wa Mungu

EricNgwegwe
Автор

Wachingaji nyinyi ndoshida kubwa Kila moja anafungua kabisa lake kwajili yakumiliki kapu la sadaka

HajjiMohammed-ts
Автор

Kwa bahati mbaya unahubiri kimwili.. Kiroho usingethubutu kusema neno lolote juu ya upendo hali hautaki kufuatilia kwanini unapaswa kuwa na imani moja? Efes 4:1-6

InivocavitTumainiel
Автор

Ni sawa ila atujamgawa Yesu ni sisi tumejigawa, nilitamani uwe padre kulikua na sababu gani wewe kuanzisha chakwako😮

josiacharles
Автор

Ongea machache jisemee wewe kua huwezi shika amr

RichardRich-sk
Автор

We chawa mbona husemi dini yako ya kiislamu kuwa ina madhehebu zaidi ya 60

ustawiwetu
Автор

Poor theological view na unawadanganya wavivu wa kufikiri👇👇👇👇👇👇👇👇

Yohana 14:21
[21]Yeye aliye na amri zangu, na kuzishika, yeye ndiye anipendaye; naye anipendaye atapendwa na Baba yangu; nami nitampenda na kujidhihirisha kwake.

Mokiwa