TAARIFA' KIFO CHADEMA TENA MBOWE,LISSU, MNYIKA WAPOKEA KWA MAJONZI MANENO YA HUYU MJUMBE

preview_player
Показать описание
TAARIFA" KIFO CHADEMA TENA MBOWE,LISSU, MNYIKA WAPOKEA KWA MAJONZI MANENO YA HUYU MJUMBE
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Tanzania sio masikini, ni masikini kwasababu ya uongozi mbaya.

gracemima
Автор

Hatua pekee yenye mashiko ni Kwa kupitia SANDUKU LA KURA 2025

vincentmhoro
Автор

Mbona aliyekuwa anasema ukweli kuwa nchi ni tajiri mlisherehekea kifo chake

ndogoroedson
Автор

Kwa miaka mingi sana nchi hii imeweka haki pembeni na kuhubiri amani inayolazimishwa kwa mtutu.
Wanufaika ŵa haya ndio wanakandamiza maendeleo ya nchi

duniakidogo
Автор

Watumishi wamungu wakijua mamlaka yao kama mtume inchi itapona shida wachunganji wamegeuza mazibahu yamungu kuwa jukwaa lasiasa

BahatiLogondisha-vqgg
Автор

Umenena. Natamani hao wait wao viongozi wangesikia.
Mfumo wa kupendeleana kindugu, chama, kabila nk ndio tatizo kubwa

duniakidogo
Автор

Mimi ushauliwangu kwenu viongozi wa dini, , achaneni na Hawa viongozi wakaidi..fundishe watu kujitambuwa Ili kwanza wachaguwe viongozi wenye maono na uwezo wa kuongozwa nchi..hao atakama mtapiga kelele sana hawawezi kufanya lolote, wengine ndo kwanza wameshasemawazi kuwa ameamuwa kuwa chura kiziwi.

JeremiahMwakanyamale
Автор

Mzee hakuna serekali ya watu ipo serekali ya viongozi na watoto wao na wageni wanaokula nchi yetu kuhorera na kuwapiga watanzania Kodi za kitumwa ktk taifa

abdalahgunda
Автор

Umesema ukweli. Tanzania ni tajiri, umasikini unaletwa na uongozi mbovu. Tumebaki kumusiifu Rais kaupiga mwingi

gracemima
Автор

Kenya kwa sasa wameivaa IMF . Kwa sheria fedha zinazokopwa kwa muradi fulani lazima zitumiwe kwa muradi huwo, vingine watanzania wana haki ya kukataa kulipa. Tanzania mama anasema atakopa tu! Kukopo sio vibaya je fedha inayokopwa inatumika vipi? Akikopa waziri wa fedha anasema Tanzania ni tajiri ndiyo maana inskopesheka. Huu ni uwongo kutupumbaza watanzania ambao wengi hatuna elimu. Mama anakopa wenye madaraka wanaiba, nakusema mama kaupiga mwingi kutupumbaza. Instakiwa forensic kwa mikopo ya mama na imefanya kazi gani

gracemima
Автор

Kuna mtu akichangia unamfananisha na chiizi

JoachimKisoka-dl
Автор

Sasa mimi hapo nimekuelewa kumbe kelele zote sababu ya Sadaka kukosekana kumbe hapo nimekuelewa Makanisa hazipatikani Sadaka

jimmymnuano
Автор

Kwan ukiwa chadema unakufa? Cna uhakika maana huwa naona wanavyofurahia akifa wa kutokea ccm na huko mnakufa?

ndogoroedson
Автор

Nazikija zinapigwa zote nazinunu ukitaka mgojwa wako afe tengemea dawa za bule au bima hakika yote uliyoyasema nikweli mtupu

HolloJuma
Автор

Mulize mbowe wewe huna maarifa we piga kelele tu mwenzio anakula pesa

KeiFerouz-fnoc
Автор

Wakenya wana elimu ya kutosha. Kitu kinachotutesa Tanzania ni elimi yetu isiyofaa. Wajinga ndiyo wengi Tanzania, na viongozi wetu wanajuwa hivyo, na ndiyo maana wanatuongoza kama ng’ombe

gracemima