LEMA na ZITTO Washindwa kuvumilia kabisa Washauriana Ubabe Lema aitwa Polisi kisa Mo Dewji

preview_player
Показать описание
Miongoni mwa wanasiasa waliokuwa msitari wa mbele kukosoa hatua ya IGP Simon Sirro kuhusu Taarifa ya Mo Dewji ni Zitto Kabwe na Gobless Lema hivyo, leo hii tayari Lema ameitwa polis.

CLICK SUBSCRIBE KISHA LIKE NA COMMENT ILI UWEZE KUPATA HABARI NYINGINE KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Kelele zao ndo matunda ya kupatikana kwa Mo

magessamagessa
Автор

Wazungu warudi watutawale miaka mingine Sita ili tuwe na akili

maxmilianjoseph
Автор

Kelele ndo zimemrudisha moo hacheni upinzani ukae.Hivi nni tnzania, ?

annamushy