KESI YA SABAYA: DAS WAKE ALITHIBITISHA NAMBA YA GARI ILIYOFIKA KWA MROSO NDIO INATUMIWA NA DC WA HAI

preview_player
Показать описание
KESI YA SABAYA: DAS WAKE ALITHIBITISHA NAMBA YA GARI ILIYOFIKA KWA MROSO NDIO INATUMIWA NA DC WA HAI

Kesi Inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya na wenzake Sita leo Imeendelea kusikilizwa katika mahakama ya hakimu mkazi Arusha na shahidi wa 13 afika mahakamani kutoa ushahidi wake.....

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:

⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)

⚫️ OUR PLAYLISTS:
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Pole sabaya...mungu atasimama ktk Hili...

mesiamatheo
Автор

Kolumba nakukubali sana naamini siku moja nitakuona bbc swahili upo vizur

cleonico
Автор

Sabaya Mimi binafsi nakuombea Mungu azid kukusimamie

fraviansweetberty
Автор

Pole sabaya ipo siku utakuwa huru tu Ole wao wanaochekelea mateso yako maana hawajui kesho Yao

lucyjeremia
Автор

Kwani Sabaya hana Haki ya kununua gari? Na Ni muda upi ungestahili yeye kununua

margarethsolomon
Автор

Mwandishi unafaa kuwa mwandish wa serkar

salumjumaruhaga
Автор

Namuombea Sabaya hasa familia yake kuwa wavumilivu kipindi hiki babayao anapopitia magumu haya.Yeyote anayefurahia mapito ya Sabaya awe na Ushahidi na ajue undani lakini Kama hujui na unamchukia iposiku yatakukuta ndipo utajua Sio kweli kwamba wafungwa wote Wanahatia

pancrasmalamla