KESI YA SABAYA: MROSO AELEZA MAHAKAMANI, ALIVYOMSHTAKI SABAYA kwa DC wa ARUSHA IKASHINDIKANA..

preview_player
Показать описание
KESI YA SABAYA: MROSO AELEZA MAHAKAMANI, ALIVYOMSHTAKI SABAYA kwa DC wa ARUSHA IKASHINDIKANA..

Shahidi wa 10 wa Jamuhuri katika kesi ya Uhujumu Uchumi Inayomkabili Lengai Ole Sabaya, na wenzake 6, Fancis Mroso Leo ameendelea kutoa ushahidi wake mahakamani.......

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:

⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)

⚫️ OUR PLAYLISTS:
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Kwa ujumla kesi haina mashiko, mtoaji fedha na mpokeaji pesa wote gereza moja. HALAFU ni yupi anathibitisha ukamatwaji wa Sabaya akizipokea fedha hizo. Ready handed. Imetoka kwa mroso kupitia kijana, kijana kupeleka gari ingine. Ah bana ee! Imekula kwa mroso. Hivi ulipoamuliwa kutoa hiyo m. 90 Ni kwa nini hukuyajenga kwa wahusika ili wafanye kazi hiyo. Unatoa fedha kisha ndio unaenda kujisanula kwa polisi, mkuu wa wilaya mwenzie na Sabaya. Mroso hueleweki, mnapoteza muda na MB zetu. Hiyo ilishakuwa history sio kesi tena.

margarethsolomon
Автор

Kama alichukua alipe tu kumgunza Mtu sio kumfunga miaka 30 kumfunga miaka hiyo no kumuua mnapotazama madhaifu tazamen na mema aliyofanya hakuna mkamilifu duniani alifungwa Yusuph gerezan unaweza kukuta umepelekwa bila kosa ila muhimu hata kama alichukua pesa hapaswi kufungwa miaka hiyo sio sahihi alipe tu inatosha hata alietoa rushwa kafanya kosa kwa nn alikuwa halipi kod?

alexiasimba
Автор

Miaka 30 du kijana alijisahau Sana sijuh hakuwa na wazaz jaman!😭😭😭😭

modestersalmon
Автор

Kuna kenge moja inasema eti Kesi haina mashiko, khaaa

felixhaule
Автор

Umetisha mwandishi nikiazisha TV 📺 yangu mtangazaji wa kwanza kupata ajira ni wewe na mishahara mnono juu

abuukilanga
Автор

Jamani
Binaadamu tuna mapungufu
Lkn mbona alikuwa anachapa kz mna angalia mapungufu tuu hana hata jema

skjjsj
Автор

Sabaya anapigwa 30 kesi ya mwanzo kesi hii kifungo cha Maisha
Baada ya hapo Takukuru Moshi inamsubiri kusomewa mashtaka engine upya sasa hapo kazi kwelikweli usishangae akaitwa msanii maarufu akaitwa Mahakamani

victormneney