Pastor Tony Kapola : NGUVU YA MANENO

preview_player
Показать описание
Life Chapel International Church, Morogoro, Tanzania.
Preaching the Word of Life through Our Man Of God Pastor Tony Kapola.
Unaweza kunifutalia kwenye mitandao yangu mingine kwa kubonyeza links hapa chini:-

Kwa mawasiliano zaidi: +255 659 085 731 au +255 713 702 187
NAMBA YA SADAKA : +255 762 153 539 (NEEMA MASENGA)
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

amen pastor hiyo roho ya maarifa
Bwana ameichilia kwajili yangu, ujinga wakiroho nakimwili, unanitoka kwa mafundisho, yako, naamini sana katika Yesu nakatika pastor Tonny
Kapola, kwakua neno unalo sema ni kweli kwakua linakua na nguvu ya maarifa ya neno la
Mungu ndani yake, nabarikiwa kupitia wewe Pastor.

agustmathew
Автор

God if there is any word I spoke that it's working against me today, I repent...clean my tongue, purify it

ashcanva
Автор

Nafuta maneno yote niliyojitamkia vibaya iwe mauti, kutofanikiwa lakini leo hi nayafuta kwa jina la Yesu

addemilongwi
Автор

Mungu nayatengua maneno yote niliyonena nanena uzima, afya na ufanisi kwangu na jamii yangu eeeh Mungu nisimamie

meggy
Автор

Samahan pastor je nawezaje kujiondoa kwenye hayo maneno

DevotaJohn-idtd
Автор

Mimi nitafanikiwa maishani katika jina la Yesu.

priscillamutave
Автор

Napenda sana magundisho ya huyu mtumishi.yuko wapi?

bellaseverua
Автор

God if there is any word I spoke that it's working against me today, I repent...clean my tongue, purify it

ashcanva
Автор

Eeeenh bwana niokoe na mauti niokoe mimi nipe nguvu mimi natoa kila rahana juu yang najitamkia maneno ya ushindi juu yang

monicawakati
Автор

Mungu maneno yote niliyonena labda kama yananiandama basi leo nayatengua kwa jina la yesu.Naomba nianze mwanzo mpya wa maisha yangu ili bwana niijue na niuone ukuu wako kwa Maisha yangu

meggy
Автор

Namkubali sana huyu mchungaji. Mimi huwa sikubali kirahisi🙏 ila msikoti vibaya mimi huwa sichukii watu.

jacobnduya
Автор

Ee Bwana Mungu naomba unirehemu na unipe neema niwe mwepesi wa kusikia na si mwepesi wa kukasirika na kusema katika jina la Yesu Kristo Amina. YAKOBO 1:19-20. Barikiwa sana Mtu wa Mungu.

blessedtumaini
Автор

Niombee paster jmn nimeshajitamkia maneno ...now days yamekuwa mwibaa

qayllahkusaga
Автор

Kinywa huumba asante kwa neno MUNGU akupe maono mengi zaidi

anethgodfrey
Автор

Thanks pastor umenipa lililo jipya kwenye maisha na uzima wa roho

justinefelix
Автор

MUNGU akutie nguvu uendelee kuihubir injil

shigongodaniel-uzvz
Автор

Vema mutu wa Mungu ubarikiwe sana kwa ujumbe mzuri ❤

maombikitumaini
Автор

Mungu akubariki sana Pastor...nabarikiwa sana na mafunzo yako

barakasonga
Автор

Emen, , mungu wangu natamani nikujie zaídi

maryagan