MBOWE NA WENZAKE WAKWAMA MAHAKAMANI/ JAJI AKUBALI OMBI LA JAMHURI

preview_player
Показать описание
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV ( +255 767 400402),
🔘WhatsApp ( +255 692 318213)
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

WADAU WA KATIBA MPYA TUGONGE LIKE HAPA 👍

Pihansmo
Автор

Mungu tunapiga goti kukuomba wewe baba haki itendeke mbowe aachiwe hii kesi wamemubambikia eee Mwenyezi Mungu simama katika hili

slicehamfrey
Автор

Kesi ya kupangwa na majaji wa kupangwa unategemea nn .ila mwisho wa dhulma ni aibu mutaenda kujibu kwa hakimu wa mahakimu siku ya mwisho Leo pumzi na madaraka yanaewlevya

ridhwanfaki
Автор

Maccm Hawa hawananianjemanaraia, kwahiyo ndg watz wenzangu tusilegee ila twendelee kupaza sauti, tuko hatarini nahuyu mzanzibar

josephmakutano
Автор

JAMANI WATANZANIA AWA MAJAJI MAJAJI WAAJABU SANA SASA WANATAKA KUWAJAJI WANYONGE TU SINDIO HAWA WALIOAPA MBELE YA RAISI NA JAJI MKUU UKIJITOA NA KAZI BASI SIO UNAJITOA ALAFUUNAWAJAJI MASILINI

kingbuddah
Автор

Sio mwanasiasa lkn mbowe ni mtu mwenye nidhamu sana, namuona anasimama kusalimiana na watu

mathiasmhoja
Автор

Ivi kwanini mnamnyanyasa Mbowe bila sababu

laurencemassawe
Автор

Mpaka hapo inaonekana Kuna mtu anakwenda jela tu wacha mama aupige mwingi

omarymkungwa
Автор

waliofrahi kwa sabaya kwenda jela wajiandae kuumia kwa mbowe kwenda jela.

amossbuyamba
Автор

Mbowe atapona kweli hapo ajiandae kumfata sabaya

janekichonge