'WAMEMUUA KIKATILI, HAKUNA DAMU ISIYO NA KISASI' LEMA AFUNGUKA A-Z KILICHOMPATA KIBAO WA CHADEMA

preview_player
Показать описание
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amewataka Watanzania kukemea matukio ya utekaji kama ilivyotokea kwa aliyekuwa kada wa chama hicho, Ali Kibao
Lema amesema hayo leo Jumatatu Septemba 9, 2024 baada ya kumewasili msibani kwa Kibao mkoani Tanga.
Mwili wa Kibao unatarajiwa kuzikwa leo, saa 7 mchana, maeneo ya Sahale njia ya kuelekea Pangani.
Рекомендации по теме