RAIS SAMIA ATAPUUZA KILIO HIKI CHA WATOTO WA MAREHEMU?

preview_player
Показать описание
Familia ya Ali Muhammad Kibao ina maswali magumu kwa Rais Samia.
Комментарии
Автор

Mwamba mwenye kuipenda nchi yake
SK
Media❤

HamisiSamweli
Автор

Eti kifo cha mzee kibao nikama vifo vingine hakuna cha kushangaza, duuuuh nchi hii tunakoelekea wapi? mwenyezi Mungu atubariki watanzania

donaldbenedict
Автор

HAKI HUINUA TAIFA MUNGU WA MBINGUNI TUSAIDIE WANAO 2 Nyakati 7:14. Tumwombe Mungu.

MargarethMtokambali
Автор

Huyo Mwanamke alaaniwe tuu hana mpango hata kidogo

Ambwene
Автор

Tanzania tuko njia panda. Viongozi ambao wanapaswa kulinda maisha na mali za raia wanatoa kauli za kejeli watu ambao jamaa zao wameuliwa na vyombo vya dola. Hatuna tena matumaini ya utawala wa sheria.

matiredms
Автор

alisema hadharani kuwa ...kifo ni kifo tu... maana yake alihalalisha kifo kwa wapinzani wake. kwa hiyo kuendelea kumwamini ni kupoteza muda.

eunho
Автор

TANZANIA INATISHA UTEKAJI MAUAJI MCHANA KWEUPE KWENYE BUS LAANA KOSA SIASA KOSA LAKE NN

MichaelMaro-hjyo
Автор

Wapigeni na hiyo swala yenu wote waloshiriki kuanzia kupanga hadi huondo roho wapukutike kama majani!!

festokemibala
Автор

Alietishia bastola wamemdaka ndan ya mda mfupi, ila huku wanapiga siasa

MoEd-kw
Автор

Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

juliuskitaluka
Автор

SAMIA SULUHU ANAZIKDI KULAANIWA NA HATA WANYAMA KWA UNYAMA ANAWAFANYIA RAIA ANAOWANGOZA, SAMIA SULUHU ULAANIWEEEE

natafutamatatizo
Автор

Mambo yanayohusu Chadema, serkali mara nyingi huwa haiyashughulikii.Kwa mfano:Tundu Lissu, Mbeya mkutano wa vijana, n.k.

ChristmasMaheri
Автор

Unaweza kuwateka na kuwaua na kuwapoteza kabisa watu wanaokukosoa ili utawale vizuri bila bughuza, ila bado swali linabaki je! mamlaka yako ni ya milele? je! wewe hutakufa? yaani ni ubatili tu! tenda haki tu muda wako ukiisha waachie wengine! Mungu anachukizwa na uovu huu kwa wanaoufanya.😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿

wasengaswillah
Автор

Record zako Hazina Sauti vizuri, Tafuta microphone nzuri kutoa Sound nzuri .

OptionsLimited-ls
Автор

9:25 Acha uzembe kama unajua aliyeua si uje utoe ushahidi💣Kweli we suala la laana alikimbia kwao ndiye mwenye laana😅😅

adiaygo
Автор

Baba yangu alikufa kwa cancer 2008 hadi leo 2024 natoka machoz sembuse hawa ambao baba yao alikuwa mzima akatekwa mungu awatie nguvu

JescaMasasa
Автор

Mnaacha kushtaki kwa mungu aliyefanya mambo aliyetoa order hapa unajiangaisha tu yarni chini msome dua albadiri kumshraki mungu hamna majibu yoyote mnapoteza mda tu pigeni kafara kubwa tu mtupieni chooni ama muwaombee accidents kubwa aliye panga aliyempiga mtoa order muuwaji qote accident tu kubwa na wenyewe waende

caashamacalini
Автор

Tuko pamoja nanyi katika majonzi haya.Mungu mwamuzi wa atatoa hukumu ya haki.

GabrielMwampulo-ysnl
Автор

Sometimes wanaharakati mnakosea sanaa, , Kilio cha watoto wa marehemu wapo wengi sana na matukio yanafanana na hayo, Je Endapo atalichukulia nguvuu ya kutosha peke yake hilo hamuoni huo ni Ubaguzi baina ya masikini na matajiri? Kesi zote ziendeshwe ki haki na uhalali kwa usawa😢

ameirzapy
Автор

Huyu mama kama anabakia kimnya kwa matukio haya yote atatoka roho yake kinywa wazi atataka kuongea lakini itakuwa toooo late

kinkybanjukome
visit shbcf.ru