Eti kifo cha mzee kibao nikama vifo vingine hakuna cha kushangaza, duuuuh nchi hii tunakoelekea wapi? mwenyezi Mungu atubariki watanzania
donaldbenedict
HAKI HUINUA TAIFA MUNGU WA MBINGUNI TUSAIDIE WANAO 2 Nyakati 7:14. Tumwombe Mungu.
MargarethMtokambali
Huyo Mwanamke alaaniwe tuu hana mpango hata kidogo
Ambwene
Tanzania tuko njia panda. Viongozi ambao wanapaswa kulinda maisha na mali za raia wanatoa kauli za kejeli watu ambao jamaa zao wameuliwa na vyombo vya dola. Hatuna tena matumaini ya utawala wa sheria.
matiredms
alisema hadharani kuwa ...kifo ni kifo tu... maana yake alihalalisha kifo kwa wapinzani wake. kwa hiyo kuendelea kumwamini ni kupoteza muda.
eunho
TANZANIA INATISHA UTEKAJI MAUAJI MCHANA KWEUPE KWENYE BUS LAANA KOSA SIASA KOSA LAKE NN
MichaelMaro-hjyo
Wapigeni na hiyo swala yenu wote waloshiriki kuanzia kupanga hadi huondo roho wapukutike kama majani!!
festokemibala
Alietishia bastola wamemdaka ndan ya mda mfupi, ila huku wanapiga siasa
MoEd-kw
Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana
juliuskitaluka
SAMIA SULUHU ANAZIKDI KULAANIWA NA HATA WANYAMA KWA UNYAMA ANAWAFANYIA RAIA ANAOWANGOZA, SAMIA SULUHU ULAANIWEEEE
natafutamatatizo
Mambo yanayohusu Chadema, serkali mara nyingi huwa haiyashughulikii.Kwa mfano:Tundu Lissu, Mbeya mkutano wa vijana, n.k.
ChristmasMaheri
Unaweza kuwateka na kuwaua na kuwapoteza kabisa watu wanaokukosoa ili utawale vizuri bila bughuza, ila bado swali linabaki je! mamlaka yako ni ya milele? je! wewe hutakufa? yaani ni ubatili tu! tenda haki tu muda wako ukiisha waachie wengine! Mungu anachukizwa na uovu huu kwa wanaoufanya.😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿
wasengaswillah
Record zako Hazina Sauti vizuri, Tafuta microphone nzuri kutoa Sound nzuri .
OptionsLimited-ls
9:25 Acha uzembe kama unajua aliyeua si uje utoe ushahidi💣Kweli we suala la laana alikimbia kwao ndiye mwenye laana😅😅
adiaygo
Baba yangu alikufa kwa cancer 2008 hadi leo 2024 natoka machoz sembuse hawa ambao baba yao alikuwa mzima akatekwa mungu awatie nguvu
JescaMasasa
Mnaacha kushtaki kwa mungu aliyefanya mambo aliyetoa order hapa unajiangaisha tu yarni chini msome dua albadiri kumshraki mungu hamna majibu yoyote mnapoteza mda tu pigeni kafara kubwa tu mtupieni chooni ama muwaombee accidents kubwa aliye panga aliyempiga mtoa order muuwaji qote accident tu kubwa na wenyewe waende
caashamacalini
Tuko pamoja nanyi katika majonzi haya.Mungu mwamuzi wa atatoa hukumu ya haki.
GabrielMwampulo-ysnl
Sometimes wanaharakati mnakosea sanaa, , Kilio cha watoto wa marehemu wapo wengi sana na matukio yanafanana na hayo, Je Endapo atalichukulia nguvuu ya kutosha peke yake hilo hamuoni huo ni Ubaguzi baina ya masikini na matajiri? Kesi zote ziendeshwe ki haki na uhalali kwa usawa😢
ameirzapy
Huyu mama kama anabakia kimnya kwa matukio haya yote atatoka roho yake kinywa wazi atataka kuongea lakini itakuwa toooo late