🚨 MNYAMA ANAE KATA MAPEMBE NA KUOTESHA KAMA MTI

preview_player
Показать описание

Mnyama huyu huwa na pembe (anthlers) ambazo Kwa juu huzungukwa na ngozi (velvet) ambayo hubeba virutubisho ambavyo husaidia pembe izo kukua Kwa kasi inayo takiwa.

Na pembe hizo huota Kwa deer dume tu Kwa kua ukuaji wa pembe hizo huhitaji msaada wa testosterone ambazo ni homoni za kiume hivyo jike hawana pembe hizo.

Swalii la Mdau
Kwanin Deer huwa na damu kwenye Pembe zake ??

Basi Iko Hivi Hawa Deer Kwenye Pembe zao Huwa Ngozi zinaota Hata Ukiangalia Hizuri Utaona Saa ikifika wakati zikiota hivi Deer Huwa anaenda Kwenye Miti na kusungua hizo ngozi zitoke kwa sababu ya Mechanism Defensev Yao dhidi ya Wanyama Wakali Kama Ataacha ziote ngozi inamaana kwamba Hata akikutana na *Predator* pembe haziwezi kumzuri sana Tofauti na zikiwa Bila Ngozi

Story credit: Joshua E Maleko

KUSOMA HABARI ZOTE ZA WANYAMA TEMBELEA YOUTUBE CHANEL YETU YA #MUCHKNOWTV

KUJIUNGA NA GROUP LA WANYAMA WHATSAPP 0747026868

#WILDTALES
#MUCHKNOWTV
welcome to shbcf.ru