Wooyeh Raf katolewa 🙆🏻🙆🏻😭😭

preview_player
Показать описание

Комментарии
Автор

Haki Raf hajatesa mtu haya yote anapitia kwa ajili ya kutenda haki😢😢, Mungu ni wewe tu umebaki mwenyewe mapenzi yako yatendeke.😢😢😢

lilianmbeyu
Автор

Ghaaaiii, , mungu msaidia raf aki please 🙏, , , mungu ucituaibishe aki, ,

felistus-nr
Автор

Mungu raf amefanyia mazuri mbele yetu ameokoa reho nyingi za watoto.mukumbuke Kwa hao

CharityChao
Автор

Hawa wakishikwa watolewe figo pia ziuzwe na wamalizwe😢😢

Sarah-iwcg
Автор

msipo okoka mtaripia hapa duniani, nyinyi ni vijanawadogo kwa nn hamtaki kuchoka kama wanaume wezenu, kazi yenu haina baraka za mungu ni laana tupu Ooh God protect our generations in Jesus holy name amen 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

ShiroNgure
Автор

Pia nyinyi, wembe ni ule ule, 😢😢 pole RAF

sylvia
Автор

😭😭😭Mungu wang Kwan bado hawajamuokoa mtume alijua haya haya tokea alisema atarudi kuja kumpa raff mwili mwingine daah

MaryamMaryam-kf
Автор

Ooh lord mbona hivi aki 😢😢😢😢lord remember mercy 🥺 mtume azizi plz tuna kuhitaji huku

mumblessed
Автор

Mtakufa vibaya nyinyi magaidi, ,but mungu atasaidia raff

gakyjaklin
Автор

Fanyeni yote mtakavyo siku yenu iko karibu Niko na ujasiri ya kufahamu raff hatakufa mtume aliahidi kumpea mwili mpya in Jesus mighty holy name juu raff Hana makosa ndio ayapitie haya

emmahkamande
Автор

Walai government inaona hii lakn hawaezi saidia😢😢

IreneMtoto-unlg
Автор

Unaua kwa upanga nawe utakufa kwa upanga hamna akili kwani hamuwexi tafuta kibarua yoyote kufanya ni biashara za maisha ya watu ndio munaona mungu shuka teketeza kazi ya shetani

CarolineVijedi-sn
Автор

God with love actually is so painful you gaindi ata hamtakuwa na amani Pepo mshidwe katika jina la yesu kristu

Essy-oz
Автор

Ak nyinyi Mungu wetu alali na nyinyi mkufe ivyo ivyo

TrizaMo-ouxs
Автор

Yaani kuua watu dio imekua biasara aki, Mungu wangu

joycekimani
Автор

Oooh my God of mercy help raf from this evil people

Kahairebeka
Автор

Naipenda Tanzania yangu Tanzania 🇹🇿 ♥️ ❤️ Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Afrika Mungu ikomboe Kenya 🇰🇪 ♥️ jirani zangu

AnnaMarandu-go
Автор

🤔🤔🤔😭😭😭 God please tumesononeka why!!!!????

RuthKibiriti
Автор

Alafu mko hapa mnatoa pesa ety ooh, na hakuna kitu chenye wanasaidia akina raff, juzi tumejanga ety watengeneze gari ili waendee stano wapi, mungu awasamehe kwa Yale mnafanya mambo kwa jina ya mtu,

Nora-qxi
Автор

Serekali iko wapi jmn yani raff ndo basi Tena 😭😭😭😭

teedullah