Fuse Updates: Nani mbabe wa ubongo kati ya iPhone 14, Samsung S22 au Google Pixel?
Комментарии
Sma apana kusema "Sio kwamba unajua sana" Ni kweli unajua sana kaka u so genius brother..
Tariq_Tryagain
Kaka Sky umefanya vizuri kuleta GPS huu🔥
billskeez
Ni calculations tu.. ukiwa well detailed & informed, kuforesee Mambo kadhaa nikawaida .. shida wengi wetu hatupo well informed na detailed ndio maana tunaona mjomba ni gifted . . Ni jitihada tu zakuhitaji kufahamu zaidi then everything is possible
felisteronesmo
Jioning the DOTS...THEY ALWAYS WORK..Best DJ
marvinnjoroge
Dj Smaa alitabiri kitamboo sana kabla ya mainstream media kuanza kuliiongelea hili swala.Big up Smaa
africanmandetraveler
SnS mpo vizuri sana shukran sana kwa taarifa. Nimejifunza mambo mengi sana kupitia SnS niliyokuwa siyajui hususani kuhusu hawa manyang'au.
salimfaraj
Kazi safi sana.Binafsi yangu napenda sana GPS.Upendo mwingi tokea Machakos Kenya
trendz_
Rais Badein alikufuru at Dunia wanamiliki wao sasa vp imemshinda.
Wale wote wanao sapoti Zelensky wanaenda na maji .
Ufalme wa Mungu usimame.
Amin.
mfupakhamis
Brother Sky upo vizuri sana na team yako.
salimfaraj
Pendekezo kwa DJ Smart anatakiwa kubadi jina aitwe MCHAMBUZI SMART kaka yuko vizuri 🫡🫡🫡
sonnyr
Mzee wakujoin dot ni noma saana dadekiii😅😅
husseinmassawa
kaka wew ninoma san sns mnatupa madin mengi
SamwelMsyomi
Wazee wa GPS ongereni kwa kazi nzuri wazee
mzeezidane
Sky am so happy the way you brought questions
djafro
Bro Fredrick bundala Kati ya watangazaji bora na wachambuzi bora wa Sns ni dj msa na ambao ufai kuwapotesa
Brunotarimo
Dj sma nakupenda sana.kwa sababu kila chamvua lazima unamtanguliza allah.
jumamussantuiche
Kauli yangu ni moja time will tell bro😂 sma anajua mpaka anakera mazeee 😂😂😂🙌
msodokidasilva
Djsma anafact sana hongera unaunganisha doti vzr
jacksonngusi
#SKY asante kwa kutuleteaga uyo kichwa #SMA
youngbona
Kazi njema kwaku tusogezea Habari hizi mpya mpya pongezi mno