Kumekucha! DR KUMBUKA amejitoa rasmi Konde gang 'HARMONIZE ni mnyama sio mtu' amchana H BABA,tazama.

preview_player
Показать описание
Please subscribe now on Our YouTube channel To be the first to hear about the latest news and updates on Time.

#middlesimba
#WeAreEverywhere
#kondegang
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Asante mtangazaji kwa kazi nzuri unayoifanya❤️💯🇧🇮🇧🇮🇧🇮

aishal
Автор

umakondeni middle simba weee ni nomaaaa 🙏

mudathirabdillaah
Автор

Unakuaje team ubabaishaji....WCB4LIFE 🔥🔥🔥

wainaboybrand
Автор

Walio imba #ushamba ndo washamba wenyewe...
Respect Diamond Platnumz
Like for #middle simba

obagoabhiathan
Автор

H Baba ni muongo hakuna asiyejua kuwa kmmakonde hana shukran wala fadhilla

rukiakhamsin
Автор

Talk from Zambia konde sio mtu diamond kamusaidia Sana but he run away from him pumba tu

vitalmunyangevicky
Автор

Konde kipindi anatoka wasafi nilimuona wa maana ila nmekuja stuka mwamba cyo kabisa yule ana sifa za kipuuz cmtak kabisa saiv yule😁😁

dizoboy
Автор

Kwani si wolper alishasema watu wakamtukana vilivyo

muanashaswaleh
Автор

Makonde is so ungrateful, arrogant and primitive. I pray God pays him back.

aby
Автор

Jinsi watu wanavyo tamani kutoka kimziki duniani..alaf wewe mtu amekushika mkono alaf ukiwa mkubwa unamkejeli ..haijawai tokea ulimwenguni..hio ni kondeboy tu ..kwasababu bila diamond hangekua anajulkana

gugahmediaafrica
Автор

Mutayaona mengi kutoka kwa mr small 😂😂

emmi
Автор

Andunjeee 😂😂😂😂 chaliii 🙃🙃 tunazidi kumpoteza huyu kijana! Dah pole sana korosho boy! Eti hata sili naye hamjui korosho 😂😂😂 hii sasa inaitwa mwanaukome😉😉

josephvenus
Автор

Dalili ya mvua mawingu, 2021 ndo mwisho wa huyo mla panya, mikosi kila kukicha imeanza, malipo ni hapa hapa, ivi unawajua wabongo au unawasikia! Wabongo ni kama upepo, Na utajutia gharama kubwa ulizopoteza ili ulinganishwe na chibu dangote! I repeat again, 2021 it's ur END! 😂😁😁😁😁, team WCB4LIFE likes zenu na makofi tafadhari!

vitusprotus
Автор

Laani za kumkejeli aliemuonyesha ulimwengu wa muziki ...na bado utaharibikiwa konde

gugahmediaafrica
Автор

Na Badoo jitu km ameshndwa kumueshmu mtu aliempigania mpk akafikia hapo ataweza kuwaheshmu nyinyii

awadhijumaa
Автор

Huyu dogo anazingua sana na pia ana mwaka tu

smilemediatz
Автор

Jamaa ana hadhi gan yakuitwa Dr? Namuona mshamba tu kama washamba

issayaweisiko
Автор

Mimi namkubali sana harmonize hogera sana sana

baranmohamedmbashir
Автор

Huyo hana xhukulan hata kidogo mungu amuongoze, sku akiwa kama simba sjui itakuwaje

jafariswalihina
Автор

Wanaanza kumkimbiaa mmoja mmoja hata huyo H MAMA pia atamkimbia siku sio nyingi..Maana dogo kakurupuka kumtukana SIMBA...alipojitoa WCB angeendelea kumpa Respect SIMBA hata sisi Mashabiki wa WCB tungekua tunamsapoti ila zile dharau na kejeli anazomuonesha SIMBA ndizo zilizotufanya kumuona kua hana Shukrani wala jema...Anguko lake limeanza taratibu!!!!

chicharitoronaldo