🔴#LIVE: MWANA FA, AY na WASANII WENGINE WACHARUKA KUMKATAA STEVE NYERERE - ''AMELAANIWA MAPEMA''..

preview_player
Показать описание
🔴#LIVE: MWANA FA, AY na WASANII WENGINE WACHARUKA KUMKATAA STEVE NYERERE - ''AMELAANIWA MAPEMA''..

Leo Machi 21, wasanii wa muziki Bongo wamekusanyika kujadili uteuzi wa msemaji wa wasanii, Steve Nyerere.

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:

⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)

⚫️ OUR PLAYLISTS:
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Dakika za mwisho mtangazaji wa global unavyomuhoji fid q umeupiga mwingi sanaaa yaan nilchokua nawaza uyaulize na wewe umeyauliza big up dog alaf una speed kali kama fid q

kazkaz
Автор

Awa wasanii masikini ndowanajiitikiatu ata Kama wanadanganywa wanaitikiatu🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁
Sasa daimondi kimuziki Anajuwa na anawanasheriawake wamemshauri na yuko makinisana nasisimashabiki
Tunampenda

doctorkimbunga
Автор

SASA NIMEONA STEVE NYERERE ANA MADINI! APEWE NAFASI AONGEE! HE CAN SPEAK

ntegrity
Автор

Misambano ameongea point nzuri sana ya kuondoa huo ukakasi

highvoltages
Автор

Good on you guys, Steve I pumbafu Kama Manara

adam-saffi
Автор

Steve uko juu ndio maana wanakuandama.

shemelaruhinda
Автор

Eti mama bwana yesu asifiwe hatumtaki stive nyerere 🤣🤣🤣🤣🤣

Chapesamedia
Автор

Global, FA mnaikata sauti yake, siwaamini tena naondo

Delyamedia
Автор

Mtangazaji umeendendea haki kazi yako...hongela sana....👍👍👍👍

abdulsinga
Автор

Global TV msinge post hii video mbona sauti ya mwana FA mmeikataa

abdulrahmanhassan
Автор

Kwani steve nyelele hawa wasanii kawakosea nn au kawapigia maana naona wamechachamaa sana😂😂😂😂😂

johnsonbagambi
Автор

kama mnamua kuwek video online weken full voive sio sehem nyengn mna mute kama mngekuw hamntk isikiki mngekaa nayo ndan

aishahatha
Автор

Shida sio kufika ktk vikao shida ni mumemchagua kwa misingi gani?

hassanshundi
Автор

Kwa Steve Nyerere wamezingua kwa kweli

nero
Автор

TABIA YAKE NDIO INAMKOST REAL UR BEHAVIOR WILL SAY A LOT ABOUT YOU

yama_virginhairthequeen
Автор

Natoa ushauli Kwa huyo brow alie Anza mziki mwaka 84 duuh adi Leo Acha mziki Kaka

issazalala
Автор

Huyo MwanaFA anashinikiza kuitwa mheshimiwa kwani alishinda ubunge au alipewa na Magufuli. Angeitwa tuu jina lake

ameedamilja
Автор

Nadhani mnawaona watu wenye akili Kama akina Misambano, Mwampashi lakin huyo kalala naye Ana fitina zake tu!

ndogoroedson
Автор

Ustaarabu 0:0 ndiomaana wasanii kuitwa wahuni inamaana kujiongoza hatuwezi hadi tuongozwe kweli

mustaphabakari
Автор

Acha kumlemba mwana FA Si mbunge bhana acheni kujipendekeza kwa mbunge

danielbugwema