KOCHA WA Vital'o Mpinzani wa yanga AWAZUNGUMZIA YANGA/ ATAJA hali ya hewa HAWAOGOPI HATA KIDOGO

preview_player
Показать описание
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe YouTube channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Inafurahisha sana kusikia kiswahili kinazungumzwa na watu wengi

NyamongoLife
Автор

Wew una hekima sana engineer atakup kazi yang uwe kocha msaidizi

PoulinSimon
Автор

Apewe kono la nyani make msemaji wao ana maneno ya shombo

AloyceCharles-ruoc
Автор

Hao wapewe 7 zinawatosha maana kunamsemaje wao frani anakibuli xana

SaidMkwabi-hoyy
Автор

afungwe kdg tu maana anasema walisha wahi kuisapoti yanga kipindi iko champion league

sulehamad
Автор

This coach is very humble ila yule semajiiii😂😂😂😂

edwardmalimi
Автор

Mbona huuliz kuhusu vitalo
One sided questions

elipidtesha
Автор

Muulize zaidi kuhusu timu yake, maswali ya yanga yanamhusu nini yeye?

erickagwe
Автор

Kocha yuko sawa asamehewe Gori ziwe hata mbili jaman anatia huruma

ezekieledison-dw
Автор

Mbona anatia huruma jamani.
Yanga msameheni huyu asile 5.

godblesshudson
Автор

Kamera man na mtangazaji marumbano yenu hayatuhusu. Kazi nzuri hongereni

moviekaa
Автор

Huyu ndio kocha Mana anaongea kimpira cio ushabiki

EdiSule
Автор

Yanga msiwafumge sana Vital wanatia huruma jaman😂😂

JacksonMakalanga-hsxy
Автор

Duu hadi huruma jamanii yanga mungu anawaona

GoodFred-es
Автор

Kwa heshima aliyoonyesha kocha wa Vitalo, adhabu ambayo tungetoa kwa timu yao kwa sababu ya maneno mabovu ya msemaji wao tunaisizisha. Tutaishia goli kumbe na mbili tu.

boscomtani
Автор

Huyu kocha anajua mpira mi mkweli anasema uhalisia

bihogorakaroli
Автор

Kocha yupo vizuri ila lile semaji lao ni kiboko. Afisa masoko wa uhakika.

kolosii
Автор

Tunaomba viongozo wa yanga
Matchi ya vitalo itachezewa azam complex ipewe kikosi ca 2 hatutawa viongozi wetu tunaomba kbsa

KaburameHamisi-fmfo
Автор

Huyu kocha anaiheshimu sana yanga yupo vzr sana, sio huyo msemaji anatangaza kujiuzuru kama akipigwa na yanga! Au alikua kajindaa kujiuzuru?😂.

muhsinramadhan
Автор

Wamezowea alafu wauliza kama inaweza kuwa changamoto

SultanSuleiman-qfcx