MABEYO ATEULIWA KUWA MWENYEKITI BODI HIFADHI YA NGORONGORO

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Unaogopa nini Mama.!?

Waache wastaafu wetu wapumzike wale utamu wa utumishi wao na familia zao kwa amani... Huko wanaweza kuchafuliwa na kuharibu sifa yao njema waliyoionesha na kuisimamia kwa miaka mingi.
Hawapaswi kuwa chini ya amri Tena hawa. Huko Kuna makasoro mengi sana
Mama Rais wangu wape vijana nafasi ... Éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

johnmalembo
Автор

Mungu akuzidishie mama mpendwa mchapa kazi mpambanaji ukisikia utu ndio huo

khamisjihadi
Автор

Uenyekiti wa Bodi ya taasisi kubwa kama hiyo huwezi kuwapa vijanani lazima apewe mtu mkomave mwenye experience na sifa ya uongozi. Hii nafasi kwa Mabeyo ana fit kabisa

Mimi-wfmb
Автор

Huo ndio utu na wema mana watu wakiistaafu wengi huachwa tu kama mayatima mm ndo kwanza nimuone mh rais samia kuyafanya haya tangu nizaliwe mungu amzidishie

khamisjihadi
Автор

Hii ndiyo inapelekea vijana kukosa ajila mtu amesitaafu akapumzike vijana wapo wengi sana .

foibennjeje
Автор

Umefanya kazi sana...Mungu akusimamie nje ya kambi...Busa zako usiache kuzitumia uliowaacha jeshini na serikalini.

mwambabeats
Автор

Kwa hali ya Ngorongoro umuhimu wake kwa mchango wa Taifa hili kimapato na mvutano uliopo kunahitaji bodi iliyoimara ya kusimamia kipindi hiki cha mpito (transitional) ili kufanya mambo yawe sawa. Idadi ya binadamu inakuwa kubwa kuliko bayoaniwai zilizopo. Kwa hali hii Mabeyo ni mtu anayetupa matumaini. Mabeyo ataweza kuisaidia bodi kuondoa taharuki iliyopo sasa, kukaa sawa na wanasiasa waliojaza mifugo ndani ya hifadhi na kuwatumikisha wanyonge huku wakijifanya wao wanawapigania wananchi waliomo ndani ya hifadhi. Hifadhi inaweza ongeza mapato maradufu kama ambavyo inazizidi hifadhi zote mpaka sasa.

sadockchengula
Автор

MashaAllah natamani angekua baba angu Mungu akuweke ndungu yangu na hongera sana baba wa Tz tunakupenda 😙🙏

asiaoman
Автор

Nini maan ya kustafu, , sisi waafrika bn sjui nan alieturoga

jorampeter
Автор

Kapewa kaa la moto. Ngoro Ngoro isha uzwa na Mwinyi mama ana malzia. Africa lazima iwe masikini.

gracegrace
Автор

yani watu wanao tafuta kazi wapo wengi unampa uyo aliye staafu kweli nimeamin kazi mnapeana kwa kujuana

senjiyunvankunzimana
Автор

Kwahiyo Ni bandika bandua kwanini asipumzike na vijana wapande

mercypeter
Автор

Hofu ya dokezo aliloambiwa na marehemu JPM itabumburuka

robertmasanja
Автор

FAIDA KUBWA 20 YA TUNDA LA PARACHICHI KATIKA MWILI WAKO

drmussa
Автор

Kwanini rahisi hajiamini mtu kastaafu unataka umpoze kwa lipiii

amonernest
Автор

Nini kimejificha nyuma ya uteuzi huu? Kama bado alikuwa anamhitaji angemuongezea muda wa nafasi ya CDF.

lilyjones
Автор

FAIDA KUBWA 20 YA TUNDA LA PARACHICHI KATIKA MWILI WAKO

drmussa