MGANGA ATOA SIRI KUBWA PETE ZINAVYOTUMIKA KATIKA MAAGANO YA MIZIMU YA UTAJIRI NA CHUMA ULETE

preview_player
Показать описание
MGANGA WA TIBA ZA ASILI DR. RIZIKI AMEELEZEA MAMBO MAKUBWA USIYOYAJUA KUHUSU PETE ZA MAAGANO NA MAJINI WANAOAMBATANA NAZO
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mimi nakupenda Sana umenisaidia Sana mungu akupe maisha malefu kwakusaidia watu❤️❤️

uwimbabaziflora
Автор

Wakolosai 3:11
Hapo hapana Myunani wala Myahudi, kutahiriwa wala kutokutahiriwa, mgeni wala mshenzi, mtumwa wala mwungwana, bali Kristo ni yote, na katika yote.

Yesu ni yote katika yote, ukimpata Yesu umepata vyote.

gbi
Автор

Hi naomba usaidizi kutoka kwako ama tuwasiliane kwa simu

EmmahclatteNyabokke
Автор

Naomba musaada wakupata namba yako kwamaana nina shida nawewe

CHAGABOYTZ
Автор

Bwana YESU naomba kutana nahuyu kaka ili akujuwe ww YESU kwamba ndomuweza wayote sio majini

leahchalresi
Автор

Biblia Deuteronomy :18
10 Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu atazamaye bao, wala mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye kubashiri, wala msihiri, 11 wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo, wala mtu apandishaye pepo, wala mchawi, wala mtu awaombaye wafu.

12 Kwa maana mtu atendaye hayo ni chukizo kwa Bwana; kisha ni kwa sababu ya hayo Bwana, Mungu wako, anawafukuza mbele yako.

frankinspired
Автор

Habarizasaizi muganga mimi nimurundi ninamtoto amefungwa akatokagerezani?

SirvestinCiza
Автор

Ndugu muganga wewe muzuri fatilia Yesu_Christo, achana navitu ya uchawi Yesu yu mlangoni

anaanaelle
Автор

The camera man does not know how to zoom!

yushuaissa
Автор

Watu kama conmen kujukua pesa Kwa udanganyifu utamfanya aje mpaka warudishie mwenyewe pesasake na namba yako Iko wapi

peninahomboto
Автор

mganga naomba nitumie namba zako nina shida

rajabu
Автор

Acheni kusema ivo hamujzpat mashida muwache nawuganga wak nampngeza

Fafa-nb
Автор

namba yako naishi Zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲 namba yako ya WhatsApp

-king-Jesus
Автор

Mimi Niko kenya niko natatizo kubwa naitaji usaidizi wako naomba no

ayilomengo
Автор

Dokta naitaji msaad nipate pete ya kupat utajil

Fabianofficial
Автор

Nipashe nambari Yako ya simu tafadhali.

MethuselahMomanyi-blsl
Автор

Huyu Daktali yuko wapi sasa hivi.Tampata vipi.

geoffreymwangi
Автор

naomba namba yako unicheki tafadhali ninahitaji huduma

samwelmoses