❤❤❤❤❤❤❤❤mpka mwisho bro god bless you all the time
JonsonJames-szft
Ukisha kuwa na not wewe nimpendwa wa kila maskini usijiwazie vibaya huu ndo wakat wako kula kula bata
EmmanuelNyinyigwa-mo
Chief naomba unisaidie maana mim nashindwa hata nianzie wapi familia inanitegemea sana na nafanya vyashara vyakuuza soda ila kipato hakitoshi na napamba nasaidie familia 😢😢😢. Na hata watu wakaribu uchukia na kunitenga kwasababu nasaidia familia yangu