WAZIRI MKUU MAJALIWA ATOA MAAGIZO: DIAMOND, HARMONIZE WANALIPWA, KWANINI WENGINE HAWAINGIZI PESA?

preview_player
Показать описание
Waziri Mkuu Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa alifanya kikao na viongozi wa juu wa Wizara ya Habari inayoongozwa na Waziri Mwakyembe kuhusu mifumo ya wasanii kulipwa kutokana na kazi zao za muziki.

Mhe Majaliwa alihoji wasanii wa nje wana mifumo gani ambayo inawanufaisha wasanii wao na muziki wao hata pale inapotokea wamefariki dunia basi ndugu zao wanaendelea kunufaika.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Konki master analizungumzia hilo sana Ila basata wanapiga kimya kma vile hawamwekewi Dudu baya

prisilahcleofasi
Автор

Mh waziri mkuu dady Majariwa, haya maneno ni mazuri sana sana nakushukuru sana kwa kuruhusu hayo

maxfaida
Автор

Safi sana wasanii sio bongo flavor tu hadi bongo movie wamefanya kazi nzuri zipo mpka leo lkn maisha yao mabovu sana

bakarikihonga
Автор

Safi sana, kila mtu atalipwa kwa kazi yake,

diltondilunga
Автор

Kwakweli waziri mkuu umenena hebu tuangaliye nawewe kama utawewekwa ndani kwakusema ukweli wasanii wetu wananyonywa mpka tui lamwisho

ramadhanisuru
Автор

kiongoz kwann mnabez upande wa musc tu vip kuhus sanaa ya filam maana hawa ndy wako chin zaid kimasoko na yote hii inasababishwa na sela ya nchi yenyewe

amokhan
Автор

MAJANI NA MASTER J WALILIPWA MILLION 100 KISA WALIFATILIA WIZARANI NA BADO WALI PUNJWA KUNA WAPIGAJI PALE KISHENZI

H.sazo.
Автор

Hizi ni target za Harmonize anslia lia tu saivi maana kilichompa kiburi ni akina burner huko alikopelekwa na Diamond baadae akamuona fala kumbe mwenzake anajua namna ya kula na kipofu sasa umemletea magu atakusugulisha bench mpaka upotee afu watakaofaidi ni wanaochipukia saivi...we wewe jipange kufeli ukaishi na wazazi wako mmalizie siku boy

malkavoice
Автор

Looooh kuna system hiyo huwezi piga nyimbo ya mtu holela inajulikana umepiga inakwenda kwene software

kwisa
Автор

Siipend SISIEM ila jamaa anakili san mh wazr mkuu

mohammedmhina
Автор

Kipindi hichi cha uchaguzi mna wakumbuka msio wakumbuka mbona kipindi cha nyuma hamuwaoni

khalidyndi
Автор

yuko wapi mnyakyusa munaemsema kamzidi jeshiiii jeshi juuuu zaidy

kazalikangomba
Автор

Dudubaya aka konki master, ameshaliongelea xana suala hili.

maykhalif
Автор

WAMTAFUTE DUDU BAYA AWAMBIE CHA KUFANYA

yusuphthomas
Автор

254 very positive mind for all artists....love tz

impalatv
Автор

Nakupongeza mh waziri mkuu kwa kuliona hilo

wcbvotefance
Автор

Wanaompondaga dudu baya haya sasa mawazo yake yamemfikia waziri mkuu

johnmatiko
Автор

Wanalipwa na nani? Acheni siasa.... Km youtube wanalipwa wasanii wote, shows wanapata wote, na sehemu zingine zote wasanii wote wamo. Sasa unasemaje wasanii wengine hawalipwi.

biznaiyah
Автор

Wafwatiliwe hawa wanaopiga nyimbo za marehemu ili family take inufaike.

kassimhema
Автор

Ahsante kwa kugundua hilo Baba mungu akutunze daima sijapataga waziri mkuu wa hivi, ni kweli wasanii wengi wana hujumiwa,

daudjipsonpombe